Habari zenye kuwa ndani
3 1918—Kumepita Sasa Miaka Mia Moja
JUMA LA TAREHE 3-9/12/2018
JUMA LA TAREHE 10-16/12/2018
Watu wanazoea kusema uongo leo. Ni nani alisema uongo wa kwanza? Uongo wa mubaya zaidi kupita zote ni gani? Namna gani tunaweza kujilinda ili tusidanganywe, na namna gani tunaweza kusema kweli mumoja na mwingine? Namna gani tunaweza kutumia Vyombo vyetu vya Kufundishia ili kufundisha kweli mu kazi yetu ya kuhubiri? Habari hizi mbili zitajibu maulizo hayo.
17 Habari Juu ya Maisha ya Watu—Yehova Alibariki Sana Uamuzi Wangu
JUMA LA TAREHE 17-23/12/2018
22 Tumainia Kiongozi Wetu—Kristo
JUMA LA TAREHE 24-30/12/2018
27 Endelea Kuwa na Amani ya Akili Hata Kama Hali Zinabadilika
Inaweza kuwa nguvu kujipatanisha na mabadiliko. Habari hizi mbili zitatusaidia tuendelee kuwa na amani ya akili na kumutumainia Kiongozi wetu, Kristo, hata wakati mambo yenye hatukuwazia yanatokea mu maisha yetu.
32 Ulijua?