Habari Fulani Zenye Kuwa ku JW.ORG
TUIGE IMANI YAO
Yonatani—“Hakuna Kitu Chenye Kinaweza Kumuzuia Yehova”
Yonatani alishambulia kambi ya majeshi ya Wafilisti wenye kuwa na silaha, yeye tu pamoja na mubeba-silaha wake, na walipata matokeo makubwa sana.
(Fungua sehemu MAFUNDISHO YA BIBLIA > IMANI KATIKA MUNGU.)
BIBLIA INABADILISHA MAISHA YA WATU
Hatimaye Niliacha Kumchukia Baba Yangu
Wakati Renée alikuwa na miaka 14, aliondoka kwao kwa sababu baba yake alikuwa mwenye jeuri. Ni nini iliwasaidia wote wawili wasikilizane kisha miaka mingi?
(Fungua sehemu MAFUNDISHO YA BIBLIA > AMANI NA FURAHA.)