Gazeti la Funzo
07/2019
HABARI ZA KUJIFUNZA: TAREHE 2-29/09/2019
© 2019 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
Gazeti hili haliko la kuuzisha. Linasaidia kufundisha watu Biblia mu dunia yote; feza za kusaidia ile kazi iendelee ni michango ya kujipendea yenye watu wanatoa. Ili kujua namna ya kutoa muchango wako, tafazali fungua donate.jw.org.
Maandiko inatoka mu Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya yenye inatumia luga ya sasa. Kama andiko linatoka mu tafsiri ingine, ile jambo itaonyeshwa.
PICHA KWENYE JALADA:
Wahubiri wengi wa Ufalme wamependezwa na watu wa inchi zenye hazimuamini Kristo na wanazungumuza nao juu ya hekima yenye kutenda yenye inapatikana mu Biblia. (Ona habari ya kujifunza ya 30, fungu la 12-13)