Matangazo
◼ Vitabu vya kutolea mnamo Novemba: Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Ikiwa mtu fulani anaonyesha kupendezwa wakati wa ziara za kurudia, itawezekana kumtolea uandikisho. Desemba: Ujuzi Uongozao Kwenye Uhai Udumuo Milele. Tutafanya bidii ya pekee ili kurudi kuwaona wale wote waliokubali kitabu, tukiwa na kusudi la kuanzisha mafunzo ya Biblia. Januari: La Traduction du monde nouveau na kitabu Biblia: Neno la Mungu au la Binadamu? Januari: Kila kitabu cha kurasa 192 kilichotangazwa kabla ya 1984 kilicho katika stoki ya kutaniko. Makutaniko yasiyokuwa na vifaa hivyo yatatolea Kuokolewa Kuingia Katika Dunia Mpya.
◼ Chapa hii ya Huduma Yetu ya Ufalme ina nyongeza ya “Programu ya Shule ya Huduma ya Kitheokrasi 1997”; ilinde mpaka mwisho wa 1997.