Mikutano Ya Utumishi Ya Agosti
Juma Toka Agosti 3
Wimbo 110
Dak. 10: Matangazo. Matangazo yaliyochaguliwa ya Huduma Yetu ya Ufalme. Sema juu ya ripoti ya utumishi ya kutaniko (ikiwa hiyo ni tayari) ya mwezi wa Julai. Habari za Kitheokrasi.
Dak. 15: “Ni Vizuri Kwetu Kuwako Sikuzote!”titre à vérifier Kwa maulizo na majibu. Sema pia mawazo fulani yanayotokana na Amkeni! ya Kifaransa ya Juni 8, 1988, kurasa 19-21, ili kutia moyo vijana wahudhurie mikutano yote.
Dak. 20: “Wanadamu Wenzetu Wanahitaji Kusikia Habari Njema.”titre à vérifier Wahubiri wawili au watatu wenye ustadi wanatoa kifupi cha madokezo yaliyotolewa ili kutolea broshua fulani fulani zilizo katika stoki ya kutaniko. Fasiria kwa nini yanaweza kuwa yenye matokeo katika eneo. Tia mkazo juu ya mradi wa kuanzisha mafunzo ya Biblia kwa msaada wa broshua Anataka au kitabu Ujuzi. Fanyeni maonyesho mawili: ziara ya kwanza na ziara inayofuata ambayo wakati wa hiyo funzo lapendekezwa. adaptation France
Wimbo 73 na sala ya mwisho.
Juma Toka Agosti 10
Wimbo 116
Dak. 10: Matangazo. Hali ya akaunti. Alika wahubiri wote wafikiri kwa makini juu ya uwezekano wa kuwa mapainia wasaidizi mnamo Septemba, kwa kuwa mwezi huo utakuwa mwanzo wa mwaka mpya wa utumishi.
Dak. 15: Mahitaji ya Kutaniko.
Dak. 20: Je! Roho ya Ulimwengu Inakutia Sumu? Hotuba inayotolewa na mzee, kulingana na Mnara wa Mlinzi wa Oktoba 1, 1997, kur. 25-9.
Wimbo 182 na sala ya mwisho.
Juma Toka Agosti 17
Wimbo 18
Dak. 8: Matangazo. Toa kifupi cha kisanduku “Tuisome kwa Usahihi!”adaptation RDC
Dak. 12: “Ziara Iwezayo Kuwa Baraka.”titre à vérifier Hotuba na mazungumzo kati ya wazee wawili. Fasiria miradi ya kazi ya uchungaji, kama inavyoelezwa katika Mnara wa Mlinzi wa Septemba 15, 1993, ku. 20-3. Kwa shauku, tia washiriki wa kutaniko moyo watazamie ziara za wazee.
Dak. 25: “Utumishi wa Painia: Je! Ni Wako?”titre à vérifier (maf. 1-14) Mwangalizi wa utumishi anatoa maelezo mafupi ya utangulizi ili kuchochea wahubiri wote wafikirie kwa uzito utumishi wa painia wa kawaida. Kisha, anachunguza ulizo 1 na anatoa pia maelezo kutoka mafungu yanayopatikana baada ya kichwa kidogo “Roho ya Upainia Yenye Shauku,” katika Kitabu-Mwaka 1998, kur. 104-5. Washiriki wawili au watatu wa kutaniko walio na ustadi katika utumishi wa painia wanajiunga naye, jukwani, ili kuzungumza juu ya ulizo 2. Wanaonyesha kwa njia halisi na yenye kutumika namna ya kujitegemea kimwili mtu akiwa painia. Kisha, wazazi wawili wanajiunga pamoja na kikundi hicho kwa ajili ya uchunguzi wa ulizo 3. Wanaeleza sababu nzuri ambazo zingefanya vijana Wakristo wafikirie kwa makini kufanya utumishi wa wakati wote kuwa kazi yao ya maisha. Tia moyo wahudhuriaji wote waweko kwenye mkutano wa utumishi juma lijalo, kwa ajili ya uchunguzi wa maulizo ya mwisho.
Wimbo 80 na sala ya mwisho.
Juma Toka Agosti 24
Wimbo 155
Dak. 15: Matangazo. Julisha mipango iliyochukuliwa kwa ajili ya mahubiri mwisho-juma wa kwanza wa Septemba na alika wote washiriki. Toa kifupi cha “Programu ya Kusanyiko la Mzunguko Lijalo.”
Dak. 30: “Utumishi wa Painia: Je! Ni Wako?”titre à vérifier (maf. 15-25) Hotuba na mazungumzo vinavyotolewa na mzee. Panga kwamba mapainia na wale waliokuwa mapainia wakati uliopita wazungumze kwa unyofu juu ya maulizo 4 na 5. Wanatia mkazo juu ya ulazima wa kuwa na programu nzuri na kuiheshimu, na wanatoa mifano yenye matokeo kweli kweli ya programu ya juma. Mzee anamaliza kwa kujibu ulizo 6 kwa njia yenye kuhimiza. Septemba 1 itakuwa ni mwanzo wa mwaka wa utumishi, na ni wakati wenye kufaa wa kuanza utumishi wa wakati wote. Unaweza kupata karatasi ya ombi kwa mshiriki mmoja wa halmashauri ya utumishi ya kutaniko.
Wimbo 51 na sala ya mwisho.
Juma Toka Agosti 31[taken from France km 6/98]
Wimbo 114
Dak. 10: Matangazo. Kumbusha kila mmoja atoe ripoti yake ya Agosti. Sema juu ya toleo la Septemba.
Dak. 15: Mahitaji ya Kutaniko au Je! Mimi Nimejiachilia? Hotuba inayotolewa na mzee, ikitokana na Mnara wa Mlinzi wa Kifaransa wa Desemba 15, 1987, kur. 18-19, maf. 14-16 [Non trouvé en SW]. Tia moyo wale ambao ni wenye kutenda tangu miaka mingi wafikirie sifa na kiasi cha utumishi wao mtakatifu.
Dak. 20: Kila Mmoja Kati Yetu Anaweza Kutoa Ushahidi wa Vivi Hivi. Hotuba na mazungumzo pamoja na wasikilizaji vikitegemea Mnara wa Mlinzi wa Oktoba 15, 1987, kur. 22-7. Onyesha namna wale ambao wanashughulika na madaraka ya kimwili, ya kifamilia au ya kibinafsi wanavyoweza kupata kila siku nafasi nyingi za kujulisha wengine habari njema. Taja mambo yaliyoonwa katika kutaniko lenu.
Wimbo 76 na sala ya mwisho.