Habari Za Kitheokrasi
Ghana: Mnamo Aprili, kilele kipya cha wahubiri 55 539 kilifikiwa, sawa na ongezeko la asilimia 9 kwa kulinganisha na wastani wa mwaka uliopita. Zaidi ya watu 200 000 walihudhuria Ukumbusho.
Malawi: Sasa kuna zaidi ya makutaniko 600 katika nchi hiyo, sawa na ongezeko la asilimia 50 kuliko lile la mwezi wa Oktoba 1967 ambapo kazi ilipigwa marufuku.