Matangazo
◼ Toleo la vitabu la Mwezi wa 2: Kitabu Je, Kuna Muumba Anayekujali? ao Siri ya Kupata Furaha ya Familia. Mwezi wa 3: Kitabu Biblia Inafundisha Nini Hasa? Mujikaze sana kuanzisha mafunzo ya Biblia. Mwezi wa 4 na wa 5: Magazeti Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Mutajikaza kwa njia ya pekee kuwatembelea wale waliohuzuria Ukumbusho na hotuba ya pekee ya watu wote lakini ambao hawajiunge sana na kutaniko. Kusudi la kuwatembelea ni kuanzisha funzo la Biblia na wale ambao hawajakubali funzo hilo.
◼ Kwa kuwa mwezi wa 3 una Siku za Posho tano na Siku za Yenga tano, huo utakuwa mwezi mzuri sana ili kufanya kazi ya upainia msaidizi.
◼ Mwandishi na mwangalizi wa utumishi wanapaswa kuchunguza utendaji wa mapainia wa kawaida wote. Wazee wanapaswa kuchukua mipango ili kusaidia painia yeyote aliye na tatizo la kueneza saa.
◼ Hotuba ya pekee ya watu wote kwa ajili ya kipindi cha Ukumbusho mwaka wa 2008 itakuwa na kichwa “Ni Nani Anayestahili Kabisa Kuwatawala Wanadamu?” Ona tangazo linalohusiana na jambo hilo katika Huduma Yetu ya Ufalme ya mwezi wa 9, 2007.