Habari za Mahubiri Zenye Kufurahisha
Katika mwezi wa 11, 2010, katika Congo-Kinshasa tulifikia hesabu mpya katika mambo haya: Tulikuwa wahubiri 169,114; kutia ndani mapainia wa kawaida 14,058; tulitolea watu vitabu 165,749; broshua 255,801 na magazeti 907,381; tulifanya marejeo 1,926,345 na kuongoza mafunzo ya Biblia 449,289. Hesabu hizo na zikuchochee ili uendelee kumtumkia Yehova kwa bidii!