Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 10/13 uku. 3
  • Utafanya Nini Wakati wa Sikukuu?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Utafanya Nini Wakati wa Sikukuu?
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2013
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Juu ya Nini Mashahidi wa Yehova Hawafanyake Sikukuu Fulani?
    Maulizo Yenye Watu Wanaulizaka Sana Juu ya Mashahidi wa Yehova
  • Shikamana na Ibada ya Kweli
    Biblia Inafundisha Kabisa Nini?
  • Mungu Anakubali Sikukuu Zote?
    Furahia Maisha Milele!—Ujifunze Biblia kwa Njia ya Mazungumuzo
  • Chagua Kumuabudu Mungu mu Njia Yenye Anapenda
    Biblia Inatufundisha Nini?
Ona Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2013
km 10/13 uku. 3

Utafanya Nini Wakati wa Sikukuu?

Kwa kuwa watu wengi wanabaki nyumbani wakati wa sikukuu za taifa na za kidini, kwa kawaida, hizo ni nyakati zinazofaa ili kuhubiri. Makutaniko yanatiwa moyo kupanga mukutano kwa ajili ya mahubiri siku hiyo. Ikiwa watu wengi wa eneo hawataamuka mbio siku hiyo, ni vizuri kubadili wakati wa mukutano huo. Tangazo linaweza kufanywa kwenye Mukutano wa Utumishi ili kujulisha kutaniko kwamba mahubiri yamepangwa wakati wa sikukuu, na kutia wote moyo wahubiri siku hiyo. Kwa kweli, sikukuu zinatutolea nafasi ya kupumuzika ao kushugulikia mambo yetu ya kipekee. Lakini ni vizuri tupange kuhubiri kwa muda wa saa fulani siku hiyo. Kwa hiyo, tutapata furaha inayotokana na kushiriki katika kazi takatifu.​—Mt. 11:29, 30.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine