Matangazo
Mwezi wa 3 na wa 4: Tutawatolea watu Munara wa Mulinzi na Amuka!
Ukumbusho utafanywa Siku ya Kwanza, tarehe 14 Mwezi wa 4, 2014. Ikiwa kutaniko lenu lina mikutano siku hiyo, mufanye mikutano hiyo siku ingine ya juma wakati Jumba la Ufalme litakuwa huru. Ikiwa Mukutano wa Utumishi hautafanywa, muratibu wa baraza la wazee anaweza kufanya mabadiliko kwenye programu ya Mukutano wa Utumishi ili sehemu za lazima kwa kutaniko lenu zipangwe kwenye Mukutano wa Utumishi wa juma lingine katika mwezi.
Hotuba ya watu wote itakayotolewa na mwangalizi wa muzunguko kuanzia Mwezi wa 3 mupaka Mwezi wa 8, 2014 ina kichwa “Karibuni Tutakombolewa Kutoka Taabu za Ulimwengu.”