Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 2 uku. 7
  • Tarehe 29/02–06/03

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 29/02–06/03
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 2 uku. 7

Tarehe 29/02–06/03

ESTA 1-5

  • Wimbo 86 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Esta Aliwatetea Watu wa Mungu”: (Dak. 10)

    • [Muangalie video ya Utangulizi wa Kitabu cha Esta.]

    • Esta 3:5-9—Hamani alitafuta kuangamiza watu wa Mungu (ia uku. 131 fu. 18-19)

    • Esta 4:11–5:2—Imani ya Esta ilikuwa na nguvu kuliko woga wake wa kifo (ia uku. 125 fu. 2; 134 fu. 24-26)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Esta 2:15—Namna gani Esta alionyesha kiasi na sifa ya kujizuia? (w06 1/3 uku. 9 fu. 7)

    • Esta 3:2-4—Pengine, sababu gani Mordekai alikataa kumuinamia Hamani? (ia uku. 131 fu. 18)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hii unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hii ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: Esta 1:1-15 (Isipite dak. 4)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Umutolee mutu broshua Umusikilize Mungu. Umutayarishe kwa ajili ya kumurudilia.

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) Mufanye onyesho la kumurudilia mwenye alikubali broshua Umusikilize Mungu, na muchunguze uku. 2-3. Umutayarishe kwa ajili ya mazungumuzo ya siku ingine.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) Mufanye onyesho la namna ya kujifunza Biblia kupitia broshua Umusikilize Mungu ili Uishi Milele kwenye uku. 4-5 kama mutu alikubali broshua Umusikilize Mungu. (km 7/12 uku. 2-3 fu. 4)

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 71

  • Mahitaji ya kutaniko lenu: (Dak. 10)

  • Namna Yetu Mupya ya Kufanya Mikutano na Buku la Mukutano Vinakusaidia Namna Gani?: (Dak. 5) Mazungumuzo. Uombe watu waeleze faida yenye wamepata kupitia mukutano huu mupya. Uwatie moyo wajitayarishe muzuri ili kupata faida zaidi.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 10 fu. 1-11, kisanduku kwenye uku. 86 (Dak. 30)

  • Rudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza kisha zungumuzia kwa kifupi mambo yenye mutajifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 149 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine