Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 3 uku. 4
  • Tarehe 14-20/03

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 14-20/03
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 3 uku. 4

Tarehe 14-20/03

AYUBU 1-5

  • Wimbo 89 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Ayubu Aliendelea Kuwa Mushikamanifu Wakati Alijaribiwa”: (Dak. 10)

    • [Muangalie video ya Utangulizi wa Kitabu cha Ayubu.]

    • Ayu 1:8-11—Shetani alitilia shaka sababu yenye ilimufanya Ayubu akuwe mushikamanifu (w11 15/5 uku. 17 fu. 6-8; w09 15/4 uku. 3 fu. 3-4)

    • Ayu 2:2-5—Shetani alitilia shaka ushikamanifu wa kila mutu (w09 15/4 uku. 4 fu. 6)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Ayu 1:6; 2:1—Ni nani aliruhusiwa kuingia mbele za Yehova? (w06 15/3 uku. 13 fu. 6)

    • Ayu 4:7, 18, 19—Elifazi alisema uongo gani juu ya Ayubu? (w14 15/3 uku. 13 fu. 3; w05 15/9 uku. 26 fu. 4-5; w95 15/2 uku. 27 fu. 5-6)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hii unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hii ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: Ayu 4:1-21 (Isipite dak. 4)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: Habari kubwa yawp16.2—Umutayarishe kwa ajili ya kumurudilia. (Isipite dak. 2)

  • Kumurudilia Mutu: Habari kubwa ya wp16.2—Umutayarishe kwa ajili ya mazungumuzo ya siku ingine. (Isipite dak. 4)

  • Funzo la Biblia: fg somo la 2 fu. 2-3 (Isipite dak. 6)

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 88

  • Usikubali Marafiki Wakudanganye!: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video ya jw.org/sw yenye kichwa Usikubali Marafiki Wakudanganye! (Inapatikana kwenye MAFUNDISHO YA BIBLIA > VIJANA.) Kisha, uulize maulizo haya: Watoto wanapambana na majaribu gani kwenye masomo? Namna gani wanaweza kutumia kanuni lenye kuwa katika andiko la Kutoka 23:2? Ni hatua gani ine itawasaidia wasimame imara wakati wanapambana na majaribu makali wakati wanaendelea kuwa washikamanifu? Uwaombe vijana waeleze mambo mazuri yenye walijionea.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 11 fu. 1-11 (Dak. 30)

  • Rudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza kisha zungumuzia kwa kifupi mambo yenye mutajifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 149 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine