Tarehe 21-27/03
Ayubu 6-10
Wimbo 68 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Muaminifu Ayubu Anaonyesha Huzuni Yake”: (Dak. 10)
Ayu 6:1-3, 9, 10, 26; 7:11, 16—Maneno yenye watu wanasema wakati wako katika hali ya huzuni mara nyingi hayatoke katika moyo wao (w13 15/8 uku. 19 fu. 7; w13 15/5 uku. 22 fu. 13)
Ayu 9:20-22—Ayubu alijidanganya kwa kufikiri kwamba Mungu haangaikie uaminifu wake (w15 1/7 uku. 12 fu. 2)
Ayu 10:12—Hata wakati alijaribiwa sana, Ayubu alisema mambo mazuri kumuhusu Yehova (w09 15/4 uku. 7 fu. 18; w09 15/4 uku. 10 fu. 13)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Ayu 6:14—Ayubu alionyesha namna gani kwamba ni jambo la lazima kuwa na upendo mushikamanifu? (w10 15/11 uku. 32 fu. 20)
Ayu 7:9, 10; 10:21—Kama Ayubu aliamini ufufuo wenye kuja, sababu gani alisema meneno yenye kupatikana katika andiko hii? (w06 15/3 uku. 14 fu. 11)
Usomaji wa Biblia wa juma hii unanifundisha nini juu ya Yehova?
Ni mambo gani ya usomaji wa juma hii ninaweza kutumia katika mahubiri?
Usomaji wa Biblia: Ayu 9:1-21 (Isipite dak. 4)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: wp16.2 uku. 16—Uzungumuzie mupango wa kutoa muchango. (Isipite dak. 2)
Kumurudilia Mutu: wp16.2 uku. 16—Umutayarishe kwa ajili ya mazungumuzo ya siku ingine. (Isipite dak. 4)
Funzo la Biblia: fg somo la 2 fu. 6-8. (Isipite dak. 6)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 114
Tutumie Utambuzi Wakati Tunawatia Wengine Moyo: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video yenye wazee waliona kwenye Masomo ya Huduma ya Ufalme ya hivi karibuni. Kisha, uombe wasikilizaji waeleze namna gani wazee hao wawili ni mifano mizuri kuhusu namna ya kutia moyo mutu mwenye kuonyesha huzuni kubwa kwa sababu ya kifo cha mupendwa wake.
Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 11 fu. 12-20, mambo ya kukumbuka kwenye uku. 98 (Dak. 30)
Rudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza kisha zungumuzia kwa kifupi mambo yenye mutajifunza juma lenye kufuata (Dak.3)
Wimbo 27 na Sala