Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 9 uku. 6
  • Tarehe 26, Mwezi wa 9–2 Mwezi wa 10

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 26, Mwezi wa 9–2 Mwezi wa 10
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 9 uku. 6

Tarehe 26/09–2/10

Zaburi 142-150

  • Wimbo 134 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • ‘Yehova Ni Mukubwa na wa Kusifiwa Sana’: (Dak. 10)

    • Zab 145:1-9—Ukubwa wa Yehova hauna mipaka (w04 15/1 uku. 10 fu. 3-4; uku. 11 fu. 7-8; uku. 14 fu. 20-21; uku. 15 fu. 2)

    • Zab 145:10-13—Washikamanifu wa Yehova wanamusifu (w04 15/1 uku. 16 fu. 3-6)

    • Zab 145:14-16—Yehova anategemeza kabisa washikamanifu wake (w04 15/1 uku. 17-18 fu. 10-14)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Zab 143:8—Namna gani andiko hili linatusaidia tumutukuze Mungu katika maisha yetu ya kila siku? (w10 15/1 uku. 21 fu. 1-2)

    • Zab 150:6—Andiko la mwisho la kitabu cha Zaburi linasema tunapaswa kufanya nini? (it-1-F uku. 365)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Zab 145:1-21

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) 1Pet 5:7—Fundisha Kweli.

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) Zab 37:9-11—Fundisha Kweli.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) fg somo la 9 fu. 3—Saidia mwanafunzi atumikishe habari yenye munajifunza.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 99

  • “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Kualika Watu Wenye Kupendezwa Kwenye Mikutano”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Kila ndugu na dada apewe mualiko, kisha uzungumuzie kwa kifupi ukurasa wa 2. Muangalie video yenye kuonyesha muhubiri mwenye anaalika kwenye mikutano mutu mwenye anazoea kuachia magazeti. “Malizia kwa kuzungumuzia kisanduku “Toleo la Mwezi wa 10: Mualiko kwa Ajili ya Mikutano ya Kutaniko.”

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 1 fu.11-20, michoro kwenye uku. 10, 12

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 145 na Sala

    Tafazali, musikilize kwanza muziki wote wa wimbo huo mara moja, na kisha kutaniko liimbe wimbo huo mupya.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine