Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Mwezi wa 1 uku. 7
  • Tarehe 30/01–5/02

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 30/01–5/02
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
mwb17 Mwezi wa 1 uku. 7

Tarehe 30/01–5/02

ISAYA 43-46

  • Wimbo 33 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Yehova Ni Mungu wa Unabii wa Kweli”: (Dak. 10)

    • Isa 44:26-28—Yehova alitabiri kwamba Yerusalemu na hekalu lake vingejengwa upya, na alisema kama Koreshi ndiye angekamata muji wa Babiloni (ip-2 uku. 71-72 fu. 22-23)

    • Isa 45:1, 2—Yehova alitaja hata mambo madogo-madogo juu ya namna muji wa Babiloni ungekamatwa (ip-2 uku. 77-78 fu. 4-6)

    • Isa 45:3-6—Yehova alieleza sababu gani alitumia Koreshi (ip-2 uku. 79-80 fu. 8-10)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Isa 43:10-12—Ni katika njia gani Waisraeli walipaswa kuwa taifa la mashahidi wa Yehova? (w14 15/11 uku. 21-22 fu. 14-16)

    • Isa 43:25—Ni sababu gani kubwa inamufanya Yehova afute makosa? (ip-2 uku. 60 fu. 24)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Isa 46:1-13

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) lc—Umuhubirie mwanafunzi ao mufanyakazi mwenzako wakati haukupanga kuhubiri.

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) lc—Umutayarishe musikilizaji ili kumurudilia.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) jl somo la 4

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 143

  • Namna Gani Tunaweza Kuwa Hakika Kama Biblia Inasema Kweli?: (Dak. 15) Muangalie video Namna Gani Tunaweza Kuwa Hakika Kama Biblia Inasema Kweli? Kisha mujibie maulizo haya: Namna gani tunaweza kutumia video hiyo wakati tunahubiri nyumba kwa nyumba, mahali pa watu wengi ao wakati hatukupanga kuhubiri? Umepata matokeo gani mazuri kwa kutumia video hiyo?

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 7 fu. 19-23, “JW.ORG,” muchoro “Njia Fulani Ambazo Zilitumiwa Ili Kuhubiria Watu Wengi,” na kisanduku “Ufalme Ni Jambo la Kweli Kwako?”

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 103 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine