Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Mwezi wa 2 uku. 2
  • Tarehe 6-12 Mwezi wa 2

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 6-12 Mwezi wa 2
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
mwb17 Mwezi wa 2 uku. 2

Tarehe 6-12/02

ISAYA 47-51

  • Wimbo 120 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Kumutii Yehova Kunaleta Baraka”: (Dak. 10)

    • Isa 48:17—Kutii maagizo ya Mungu ndio musingi wa ibada ya kweli (ip-2 uku. 131 fu. 18)

    • Isa 48:18—Yehova anatupenda na anataka tufurahie maisha (ip-2 uku. 131 fu. 19)

    • Isa 48:19—Kutii kunaleta baraka za milele (ip-2 uku. 132 fu. 20-21)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Isa 49:6—Kwa sababu kazi ya Masiya hapa duniani ilikuwa tu kwa Waisraeli, namna gani yeye ni “nuru ya mataifa”? (w07 15/1 uku. 9 fu. 8)

    • Isa 50:1—Sababu gani Yehova aliwauliza Waisraeli hivi: “Kiko wapi cheti cha talaka cha mama yenu?” (it-1-F uku. 660 fu. 4-5)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Isa 51:12-23

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Tujitayarishe ili Kutolea Watu Vichapo Katika Mwezi Huu: (Dak. 15) Mazungumuzo yenye kutegemea sehemu “Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo.” Muangalie video zenye kuonyesha namna ya kuanzisha mazungumuzo, kisha muzungumuzie mambo makubwa. Katika Mwezi wa 2, wahubiri wanaweza kutolea watu broshua Uhai—Ulitokana na Muumba? ao Maswali Matano Muhimu Kuhusu Chanzo cha Uhai, kulingana na hali ya musikilizaji. (Ona kisanduku “Maswali Matano Muhimu Kuhusu Chanzo cha Uhai.”)

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 89

  • Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 7) Kama munapenda munaweza kuzungumuzia habari zenye kupatikana katika Kitabu cha Mwaka. (yb16 uku. 144-145)

  • Ukuwe Rafiki ya Yehova—Umutii Yehova: (Dak. 8) Mazungumuzo. Muanze kwa kuangalia video Ukuwe Rafiki ya Yehova—Umutii Yehova. Kisha mujibie maulizo haya: Ni sababu gani kubwa inatufanya tumutii Yehova? (Met 27:11) Namna gani watoto wanaweza kuonyesha kama wanamutii Yehova? Namna gani watu wakubwa wanaweza pia kuonyesha kama wanamutii Yehova?

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 8 fu. 1-7, na kisanduku “Habari Njema Katika Luga Zaidi Ya 670”

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 98 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine