Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Mwezi wa 2 uku. 3
  • Tarehe 13-19 Mwezi wa 2

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 13-19 Mwezi wa 2
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
mwb17 Mwezi wa 2 uku. 3

Tarehe 13-19/02

ISAYA 52-57

  • Wimbo 148 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Kristo Aliteswa kwa Ajili Yetu”: (Dak. 10)

    • Isa 53:3-5—Alizarauliwa, na alipondwa kwa ajili ya makosa yetu (w09 15/1 uku. 26 fu. 3-5)

    • Isa 53:7, 8—Kwa kujipendea, alitoa uzima wake kwa ajili yetu (w09 15/1 uku. 27 fu. 10)

    • Isa 53:11, 12—Tunaweza kuonwa kuwa wenye haki kwa sababu alibakia muaminifu mupaka mwisho (w09 15/1 uku. 28 fu.13)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Isa 54:1—‘Mwanamuke tasa’ mwenye kutajwa katika unabii huu ni nani, na ‘wana [watoto]’ wake ni nani ? (w06 15/3 uku. 11 fu. 2)

    • Isa 57:15—Ni katika njia gani Yehova ‘anakaa’ pamoja na “watu wa hali ya chini” na “wale wanaopondwa”? (w05 15/10 uku. 26 fu. 3)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza ­kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Isa 57:1-11

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) lf—Umutayarishe ili kumurudilia.

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) lf 30-31—Umutayarishe ili kumutembelea tena.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) bhs uku. 15 fu. 16-17—Kama inawezekana, baba ajifunze na mutoto yake mwanaume ao mwanamuke.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 110

  • “Uwasaidie Watoto Wako Wakuwe na Imani Yenye Nguvu Katika Muumbaji”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Mambo Vijana Wenzako Wanasema—Kumuamini Mungu

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 8 fu. 8-13, na muchoro “Vichapo Ambavyo Vinachapishwa Zaidi Duniani”

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 107 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine