Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Mwezi wa 2 uku. 4
  • Tarehe 20-26 Mwezi wa 2

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 20-26 Mwezi wa 2
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
mwb17 Mwezi wa 2 uku. 4

Tarehe 20-26/02

ISAYA 58-62

  • Wimbo 142 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • ‘Tangaza Mwaka wa nia Njema wa Yehova’: (Dak. 10)

    • Isa 61:1, 2—Yesu alichaguliwa ili ‘kutangaza mwaka wa nia njema wa Yehova’ (ip-2 uku. 322 fu. 4)

    • Isa 61:3, 4—Yehova anatoa “miti mikubwa ya uadilifu [haki]” ili kutegemeza kazi yake (ip-2 uku. 326-327 fu. 13-15)

    • Isa 61:5, 6—“Wageni” wanaunga mukono “makuhani wa Yehova” ili kufanya kazi kubwa zaidi ya kutoa ushahidi (w12 15/12 uku. 25 fu. 5-6)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Isa 60:17—Ni katika njia gani Yehova ametimiza ahadi hii katika siku za mwisho? (w15 15/7 uku. 6-8 fu. 14-17)

    • Isa 61:8, 9—‘Agano linalodumu mupaka wakati usio na kipimo’ ni nini, na “uzao” ni nani? (w07 15/1 uku. 11 fu. 5)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Isa 62:1-12

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) g17.1 habari kubwa

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) g17.1 habari kubwa

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) bhs uku. 16 fu. 19—Kama inawezekana, mama ajifunze na mutoto yake mwanamuke.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 47

  • Tumia Video Katika Mahubiri: (Dak. 6) Hotuba. Muangalie video Ufalme wa Mungu Ni Nini? Tia ndugu na dada moyo watumie video hiyo pamoja na vichapo vya kutolea watu katika Mwezi wa 3 na wa 4, wakati wanamutembelea mutu mara ya kwanza ao wakati wanamurudilia.

  • “Tutumie Vichapo Vyetu kwa Hekima”: (Dak. 9) Mazungumuzo. Muangalie video Namna Vichapo Vinapelekwa Katika Maeneo Mbalimbali ya Congo.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 8 fu. 14-18, na visanduku “Kuharakisha Kazi Ya Kutafsiri Biblia” na “Ufalme Ni Jambo la Kweli Kwako?”

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 114 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine