Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Mwezi wa 3 uku. 4
  • Tarehe 20-26 Mwezi wa 3

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 20-26 Mwezi wa 3
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
mwb17 Mwezi wa 3 uku. 4

Tarehe 20-26/03

YEREMIA 8-11

  • Wimbo 117 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Wanadamu Wako na Lazima ya Muongozo wa Yehova”: (Dak. 10)

    • Yer 10:2-5, 14, 15—Miungu ya mataifa ni miungu ya uongo (it-1-F uku. 506)

    • Yer 10:6, 7, 10-13—Tofauti na miungu ya mataifa, Yehova ni Mungu mumoja tu wa kweli (w04 1/10 uku. 11 fu. 10)

    • Yer 10:21-23—Wanadamu wako na lazima ya muongozo wa Yehova (w15 1/9 uku. 15 fu. 1)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Yer 9:24—Ni muzuri kujivunia mambo gani? (w13 15/1 uku. 20 fu. 16)

    • Yer 11:10—Sababu gani Yeremia alitaja ufalme wa makabila kumi katika matangazo yake ya hukumu hata kama muji wa Samaria ulikuwa tayari umeanguka mwaka wa 740 M.K.Y.? (w07 15/3 uku. 9 fu. 2)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Yer 11:6-16

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Mualiko wa Ukumbusho na wp17.2 habari kubwa—Umutayarishe kwa ajili ya kumurudilia.

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) Mualiko wa ukumbusho na wp17.2 habari kubwa—Umutayarishe kwa ajili ya mazungumuzo ya siku ingine.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) ld uku. 4-5 (Mwanafunzi anaweza kuchagua ni picha gani mutajifunza.)—Umualike kwenye Ukumbusho.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 101

  • “Namna ya Kutumia Broshua Umusikilize Mungu”: (Dak. 15) Muanze kwa kuzungumuzia habari hiyo kwa dakika tano. Kisha, muangalie na kuzungumuzia video yenye kuonyesha namna ya kuongoza funzo kwenye ukurasa wa 8 na 9 wa broshua. Mwanafunzi anatumia broshua Umusikilize Mungu na mwalimu anatumia broshua Umusikilize Mungu ili Uishi Milele. Uwaombe ndugu na dada wafuate katika broshua zao Umusikilize Mungu ili Uishi Milele.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr “Sehemu ya 3—Kanuni za Ufalme—Kuendelea Kutafuta Haki ya Mungu”, na sura ya 10 fu. 1-7

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 35 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine