Tarehe 27/03–2/04
YEREMIA 12-16
Wimbo 135 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Waisraeli Walimusahau Yehova”: (Dak. 10)
Yer 13:1-5—Yeremia alitii wakati Mungu alimuambia afiche mushipi ao mukaba wa kitani, hata kama kufanya hivyo kuliomba kujitoa sana (jr uku. 51 fu. 17)
Yer 13:6, 7—Wakati Yeremia alifanya safari ndefu sana ili kurudia kuchukua mukaba wenye alificha, alikuta umeharibika (jr uku. 52 fu.18)
Yer 13:8-11—Kupitia mufano huo, Yehova alikuwa akionyesha kwamba urafiki wake na Waisraeli ungeharibika kwa sababu ya mioyo yao migumu (jr uku. 52 fu. 19-20; it-1-F uku. 1070 fu. 14)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Yer 12:1, 2, 14—Yeremia aliuliza ulizo gani, na Yehova alimujibia nini? (jr uku. 118 fu. 11)
Yer 15:17—Yeremia alikuwa na mawazo gani juu ya marafiki, na namna gani tunaweza kuiga mufano wake? (w04 1/5 uku. 12 fu. 16)
Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?
Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Yer 13:15-27
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Mualiko wa Ukumbusho na video—Umutayarishe ili kumurudilia.
Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) Mualiko wa Ukumbusho na video—Umutayarishe kwa ajili ya mazungumuzo ya siku ingine.
Hotuba: (Dak. 6) w16.03 uku. 29-31 Kichwa: Ni Wakati Gani Watu wa Mungu Walikuwa Watumwa, ao Wafungwa, wa Babiloni Mukubwa?
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 139
“Saidia Familia Yako Imukumbuke Yehova”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muanze kwa kuangalia video “Maneno Haya . . . Lazima Yawe Katika Moyo Wako”—Maelezo ya Familia.
Funzo la Biblia la Kutaniko (Dak. 30) kr sura ya 10 fu. 8-11, na visanduku ““Noeli Ilitoka Wapi na Sababu gani Ilianzishwa”” na “Chanzo Cha Sikukuu Zingine”
Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 48 na Sala