Tarehe 27/11–3/12
NAHUMU 1–HABAKUKI 3
Wimbo 154 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Tuendelee Kuwa Macho Kiroho na Wenye Bidii”: (Dak. 10)
[Muangalie video ya Utangulizi wa Kitabu cha Nahumu.]
[Muangalie video ya Utangulizi wa Kitabu cha Habakuki.]
Hab 2:1-4—Ili kuokoka siku ya hukumu ya Yehova yenye inakuja, tunapaswa kuendelea kuingojea (w07 15/11 uku. 10 fu. 3-5)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Nah 1:8; 2:6—Muji wa Ninawi uliharibiwa namna gani? (w07 15/11 uku. 9 fu. 2)
Hab 3:17-19—Hata kama pengine tutapata magumu mbele na wakati wa Har-Magedoni, tunaweza kuwa hakika na jambo gani? (w07 15/11 uku. 10 fu. 10)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Hab 2:15–3:6
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) hf—Umutayarishe mutu ili kumurudilia.
Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) hf—Broshua imekwisha kutolewa. Onyesha namna ya kumurudilia mutu.
Hotuba: (Isipite dak. 6) w16.03 ukurasa wa 3-5—Kichwa: Unaweza Kusaidia Katika Kutaniko Lako?
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 40
“Tuendelee Kuwa Macho Kiroho na Wenye Bidii Wakati Hali Zetu Zinabadilika”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Tuendelee Kuwa Nguvu Kiroho Wakati wa Mabadiliko.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 22 fungu 1-7
Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3) Julisha kutaniko kama katika Mwezi wa 12, tutakuwa na kampanye ya pekee ya kutolea watu Amuka! yenye kichwa “Dunia Hii Itaokoka?” Video yenye kuonyesha namna ya kutolea watu Amuka! hiyo, yenye tutazungumuzia kwenye mukutano Utumishi na Maisha wa juma lenye kuja, itapatikana kwenye JW Library kuanzia tarehe 30 Mwezi wa 11. Wahubiri wanapaswa kujikaza sana ili kutolea watu wengi zaidi Amuka! hiyo.
Wimbo 129 na Sala