Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 2 uku. 4
  • Tarehe 12-18 Mwezi wa 2

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 12-18 Mwezi wa 2
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 2 uku. 4

Tarehe 12-18/02

MATHAYO 14-15

  • Wimbo 93 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Kulisha Watu Wengi Kupitia Wachache”: (Dak. 10)

    • Mt 14:16, 17​—Wanafunzi walikuwa tu na mikate tano na samaki mbili (w13 15/7 uku. 15 fu. 2)

    • Mt 14:18, 19​—Yesu alilisha watu wengi sana kupitia wanafunzi wake (w13 15/7 uku. 15 fu. 3)

    • Mt 14:20, 21​—Maelfu ya watu walipata faida kupitia muujiza wa Yesu (“bila kuhesabia wanamuke na watoto wadogo” kwa ajili ya funzo kuhusu Mt 14:21, nwtsty-E; w13 15/7 uku. 15 fu. 1)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Mt 15:7-9​—Sababu gani hatupaswe kuwa wanafiki? (“wanafiki” kwa ajili ya funzo Mt 15:7, nwtsty-E)

    • Mt 15:26​—Pengine Yesu alikuwa anafikiria nini wakati alitumia maneno ‘imbwa wadogo’? (“watoto . . . imbwa wadogo” kwa ajili ya funzo Mt 15:26, nwtsty-E)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mt 15:1-20

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Ona Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo.

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza; Video: (Dak. 5) Muangalie video na kuizungumuzia.

  • Hotuba: (Isipite dak. 6) w15 15/9 uku. 19-20 fu. 14-17​—Kichwa: Kaza Akili Yako Juu ya Yesu ili Kutia Nguvu Imani Yako.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 135

  • Ukuwe Rafiki ya Yehova​—Kufanya Urafiki: (Dak. 7) Muangalie video. Kisha, ualike kwenye jukwaa watoto wenye ulitayarisha, na uwaulize maulizo haya: Juu ya nini tunapaswa kufanya urafiki na watu wenye wanamupenda Yehova? Wanaweza kukufundisha nini?

  • “Heshimia Baba Yako na Mama Yako”: (Dak. 8) Mazungumuzo. Muangalie video Namna Gani Ninaweza Kuzungumuza na Wazazi Wangu?

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 8

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 148 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine