Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 2 uku. 6
  • Tarehe 19-25 Mwezi wa 2

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 19-25 Mwezi wa 2
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 2 uku. 6

Tarehe 19-25/02

MATHAYO 16-17

  • Wimbo 45 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Uko na Mawazo ya Nani?”: (Dak. 10)

    • Mt 16:21, 22​—Petro aliacha mawazo yake ichochewe na namna alijisikia (w07 15/2 uku. 16 fu. 17)

    • Mt 16:23​—Petro hakukuwa na mawazo ya Mungu (w15 15/5 uku. 13 fu. 16-17)

    • Mt 16:24​—Wakristo wanapaswa kuacha mawazo ya Mungu iongoze maisha yao (w06 1/4 uku. 23 fu. 9)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Mt 16:18​—Mwamba kwenye Yesu alijenga kutaniko la Kikristo ni nani? (“Wewe ni Petro, na juu ya mwamba huu,” “kutaniko” kwa ajili ya funzo Mt 16:18, nwtsty-E)

    • Mt 16:19​—“Funguo za Ufalme wa mbinguni” zenye Yesu alimupatia Petro zilikuwa nini? (“funguo za Ufalme wa mbinguni” kwa ajili ya funzo Mt 16:19, nwtsty-E)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mt 16:1-20

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Anza kwa kutumia namna ya kuanzisha mazungumuzo. Onyesha namna ya kupambana na kizuia-mazungumuzo chenye kutumiwa sana katika eneo lenu.

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Ona Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo.

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Pili; Video: (Dak. 5) Muangalie video na kuizungumuzia.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 78

  • “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri​—Tutumie Muzuri Maulizo”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Fanya Kazi Yenye Yesu Alifanya​—Fundisha.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 9

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 134 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine