Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 9 uku. 6
  • Tarehe 24–30/09

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 24–30/09
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 9 uku. 6

Tarehe 24-30/09

YOHANA 7-8

  • Wimbo 12 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Yesu Alitukuza Baba Yake”: (Dak. 10)

    • Yoh 7:15-18​—Wakati watu walimusifu Yesu kwa sababu ya mafundisho yake, sikuzote alisema kama mafundisho yake ilitoka kwa Yehova (cf uku. 100-101 fu. 5-6)

    • Yoh 7:28, 29​—Yesu alisema kama ni Mungu alimutuma; hilo linaonyesha kama alijitiisha kabisa kwa Yehova

    • Yoh 8:29​—Yesu aliambia wasikilizaji wake kama sikuzote alifanya mambo yenye kumufurahisha Yehova (w11 15/3 uku. 11 fu. 19)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Yoh 7:8-10​—Yesu alidanganya ndugu zake wenye hawakumuamini? (w07 1/2 uku. 6 fu. 4)

    • Yoh 8:58​—Ni nini ilifanya sehemu ya mwisho ya hii andiko itafsiriwe “nilikuwa,” kuliko kutafsiriwa “niko,” na sababu gani hii jambo ni ya lazima? (“nilikuwa” nwtsty kwa ajili ya funzo kuhusu Yoh 8:58)

    • Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Yoh 8:31-47

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia namna ya kuanzisha mazungumuzo. Kisha umualike mwenye-nyumba ku mikutano.

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Tatu: (Isipite dak. 3) Chagua andiko yenye utatumia, kisha umutolee mutu kichapo cha funzo.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) lv uku. 10-11 fu. 10-11

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 103

  • “Ukuwe Munyenyekevu na Mwenye Kiasi Kama Yesu”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 36

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma yenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 119 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine