Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Mwezi wa 1 uku. 2
  • Tarehe 7-13/01

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 7-13/01
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
mwb19 Mwezi wa 1 uku. 2

Tarehe 7-13/01

MATENDO 21-22

  • Wimbo 55 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Mapenzi ya Yehova Yatendeke”: (Dak. 10)

    • Mdo 21:8-12​—Wakristo wenzake waliomba Paulo asiende Yerusalemu kwa sababu ya jambo yenye ingemupata kule (bt uku. 177-178 fu. 15-16)

    • Mdo 21:13​—Paulo alipenda kabisa kufanya mapenzi ya Yehova (bt uku. 178 fu. 17)

    • Mdo 21:14​—Wakati ndugu waliona kama Paulo anapenda tu aende, walimuacha aende (bt uku. 178 fu. 18)

  • Chimba Ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Mdo 21:23, 24​—Vile Wakristo hawakukuwa tena chini ya Sheria ya Musa, juu ya nini wazee wa Yerusalemu walipatia Paulo ile muongozo? (bt uku. 184-185 fu. 10-12)

    • Mdo 22:16​—Namna gani zambi za Paulo zingesafishwa na kuondolewa mbali? (“ujisafishe na kuondolea mbali zambi zako kwa kuitia jina lake” nwtsty, maelezo kuhusu Mdo 22:16)

    • Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mdo 21:1-19 (th somo ya 5)a

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Fanya Bidii Katika Kusoma na Kufundisha: (Dak. 10) Mazungumuzo. Muangalie video Utangulizi Muzuri, na muzungumuzie somo ya 1 ya broshua Kusoma na Kufundisha.

  • Hotuba: (Isipite dak. 6) w10 1/2 uku. 13 fu. 1-3​—Kichwa: Wakristo Wanapaswa Kushika Sabato ya Kila Juma? (th somo ya 1)b

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 134

  • “Yehova Ametufundisha Namna ya Kukomalisha Watoto Yetu”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 49

  • Rudilia mambo fulani yenye mumejifunza, na useme mambo fulani ya kujifunza juma kesho (Dak. 3)

  • Wimbo 70 na Sala

a b Maelezo: Kuanzia hii buku, maagizo ya kila mugao ya mwanafunzi itaonyesha pia somo yenye atatumikia. Ile somo itakuwa mu paranteze na itatoka mu broshua Fanya Bidii Katika Kusoma na Kufundisha (th).

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine