Tarehe 7-13/01
MATENDO 21-22
Wimbo 55 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Mapenzi ya Yehova Yatendeke”: (Dak. 10)
Mdo 21:8-12—Wakristo wenzake waliomba Paulo asiende Yerusalemu kwa sababu ya jambo yenye ingemupata kule (bt uku. 177-178 fu. 15-16)
Mdo 21:13—Paulo alipenda kabisa kufanya mapenzi ya Yehova (bt uku. 178 fu. 17)
Mdo 21:14—Wakati ndugu waliona kama Paulo anapenda tu aende, walimuacha aende (bt uku. 178 fu. 18)
Chimba Ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Mdo 21:23, 24—Vile Wakristo hawakukuwa tena chini ya Sheria ya Musa, juu ya nini wazee wa Yerusalemu walipatia Paulo ile muongozo? (bt uku. 184-185 fu. 10-12)
Mdo 22:16—Namna gani zambi za Paulo zingesafishwa na kuondolewa mbali? (“ujisafishe na kuondolea mbali zambi zako kwa kuitia jina lake” nwtsty, maelezo kuhusu Mdo 22:16)
Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mdo 21:1-19 (th somo ya 5)a
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Fanya Bidii Katika Kusoma na Kufundisha: (Dak. 10) Mazungumuzo. Muangalie video Utangulizi Muzuri, na muzungumuzie somo ya 1 ya broshua Kusoma na Kufundisha.
Hotuba: (Isipite dak. 6) w10 1/2 uku. 13 fu. 1-3—Kichwa: Wakristo Wanapaswa Kushika Sabato ya Kila Juma? (th somo ya 1)b
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 134
“Yehova Ametufundisha Namna ya Kukomalisha Watoto Yetu”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 49
Rudilia mambo fulani yenye mumejifunza, na useme mambo fulani ya kujifunza juma kesho (Dak. 3)
Wimbo 70 na Sala