Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Mwezi wa 2 uku. 6
  • Tarehe 25/02–3/03

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 25/02–3/03
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
mwb19 Mwezi wa 2 uku. 6

Tarehe 25/02–3/03

WAROMA 9-11

  • Wimbo 25 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Mufano wa Muzeituni”: (Dak. 10)

    • Ro 11:16​—Muzeituni wenye ulipandwa unafananisha kutimizwa kwa mambo yenye Mungu alipenda kufanya kupitia agano lake na Abrahamu (w11 15/5 uku. 23 fu. 13)

    • Ro 11:17, 20, 21​—Watiwa-mafuta wenye walipandikizwa ku muzeituni wa mufano wanapaswa kuendelea kuonyesha imani (w11 15/5 uku. 24 fu. 15)

    • Ro 11:25, 26​—Hesabu kamili ya Waisraeli wa kiroho “wataokolewa” (w11 15/5 uku. 25 fu. 19)

  • Chimba Ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Ro 9:21-23​—Juu ya nini tunapaswa kukubali Mufinyanzi wetu Mukubwa Yehova atufinyange? (w13 15/6 uku. 25 fu. 5)

    • Ro 10:2​—Juu ya nini tunapaswa kuhakikisha kama tuko tunamuabudu Yehova kulingana na ujuzi wenye hauna makosa? (it-1-F uku. 1234 fu. 6)

    • Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Ro 10:1-15 (th somo ya 10)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Video ya Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Dak. 5) Muangalie video na kuizungumuzia.

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Isipite dak. 3) Tumia ukurasa wa 1. (th somo ya 6)

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 5) Anza kwa kutumia Kumurudilia Mutu Mara ya Pili ku ukurasa wa 1, kisha uanze funzo la Biblia kwa kutumia kitabu Biblia Inatufundisha. (th somo ya 9)

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 60

  • “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri​—Kuacha Kuongoza Mafunzo Yenye Haifanye Maendeleo”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 56

  • Rudilia mambo fulani yenye mumejifunza, na useme mambo fulani ya kujifunza juma kesho (Dak. 3)

  • Wimbo 36 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine