Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Mwezi wa 3 uku. 3
  • Tarehe 11-17/03

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 11-17/03
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
mwb19 Mwezi wa 3 uku. 3

Tarehe 11-17/03

WAROMA 15-16

  • Wimbo 33 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Umutegemee Yehova Juu Akupatie Uvumilivu na Faraja”: (Dak. 10)

    • Ro 15:4​—Soma Biblia juu ikufariji (w17.07 uku. 14 fu. 11)

    • Ro 15:5​—Omba Yehova akupatie “uvumilivu na faraja” (w16.04 uku. 10 fu. 5)

    • Ro 15:13​—Yehova anatupatia tumaini (w14 15/6 uku. 14 fu. 11)

  • Chimba Ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Ro 15:27​—Ni mu maana gani Wakristo wenye hawakukuwa Wayahudi walikuwa na “deni” ya Wakristo wa Yerusalemu? (w89-F 1/12 uku. 24 fu. 3)

    • Ro 16:25​—“Siri takatifu yenye ilikuwa imefichwa tangu nyakati za zamani” njo nini? (it-2-F uku. 647 fu. 2)

    • Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Ro 15:1-16 (th somo ya 10)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Video ya Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 4) Muangalie video na kuizungumuzia.

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Tumia ukurasa wa 1. (th somo ya 3)

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa 1. Jibia kizuia-mazungumuzo chenye watu wanazoea kutokeza mu eneo yenu. (th somo ya 10)

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa 1. Jibia kizuia-mazungumuzo chenye watu wanazoea kutokeza mu eneo yenu. (th somo ya 11)

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 129

  • Namna Yehova “Anatoa Uvumilivu na Kitulizo”: (Dak. 15) Muangalie video. Kisha mujibie hii maulizo:

    • Unapaswa kufanya nini juu upate faraja?

    • Namna gani unaweza kufariji wengine?

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 58

  • Rudilia mambo fulani yenye mumejifunza, na useme mambo fulani ya kujifunza juma kesho (Dak. 3)

  • Wimbo 34 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine