Tarehe 14-20/10
1 PETRO 1-2
Wimbo 29 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Munapaswa Kuwa Watakatifu”: (Dak. 10)
[Muangalie video Utangulizi wa Kitabu cha 1 Petro.]
1Pe 1:14, 15—Tamaa zetu na mwenendo wetu vinapaswa kuwa takatifu (w17.02 uku. 9 fu. 5)
1Pe 1:16—Tunajikaza kumuiga Mungu wetu mutakatifu (lvs uku. 77 fu. 6)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
1Pe 1:10-12—Namna gani tunaweza kuwa na bidii kama manabii na malaika? (w08 15/11 uku. 21 fu. 9)
1Pe 2:25—Mwangalizi Mukubwa Zaidi ni nani? (it-2 uku. 1021 fu. 4)
Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) 1Pe 1:1-16 (th somo ya 10)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Video ya Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 4) Muangalie video na kuizungumuzia.
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Tumia ukurasa wa 1. (th somo ya 1)
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa 1. Jibia kizuia-mazungumuzo chenye watu wanazoea kutokeza mu eneo lenu. (th somo ya 3)
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa 1. Umuachie mutu kichapo kimoja kati ya Vyombo Vyetu vya Kufundishia. (th somo ya 9)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 28
Ukuwe Rafiki ya Yehova—Upange Vitu Muzuri: (Dak. 6) Muangalie video. Kisha ualike kwenye jukwaa watoto wenye ulitayarisha, na uwaulize: Namna gani Yehova alipanga kila kitu muzuri? Nini njo inasaidia kiboko aendelee kuwa safi? Juu ya nini unapaswa kusaidia kusafisha nyumba?
“Yehova Anapenda Watu Wenye Kuwa Safi”: (Dak. 9) Mazungumuzo. Muangalie video Mungu Anapenda Watu Wenye Kuwa Safi.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 87
Rudilia mambo fulani yenye mumejifunza, na useme mambo fulani ya kujifunza juma kesho (Dak. 3)
Wimbo 39 na Sala