Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Mwezi wa 10 uku. 3
  • Tarehe 14-20/10

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 14-20/10
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
mwb19 Mwezi wa 10 uku. 3

Tarehe 14-20/10

1 PETRO 1-2

  • Wimbo 29 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Munapaswa Kuwa Watakatifu”: (Dak. 10)

    • [Muangalie video Utangulizi wa Kitabu cha 1 Petro.]

    • 1Pe 1:14, 15​—Tamaa zetu na mwenendo wetu vinapaswa kuwa takatifu (w17.02 uku. 9 fu. 5)

    • 1Pe 1:16​—Tunajikaza kumuiga Mungu wetu mutakatifu (lvs uku. 77 fu. 6)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • 1Pe 1:10-12​—Namna gani tunaweza kuwa na bidii kama manabii na malaika? (w08 15/11 uku. 21 fu. 9)

    • 1Pe 2:25​—Mwangalizi Mukubwa Zaidi ni nani? (it-2 uku. 1021 fu. 4)

    • Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) 1Pe 1:1-16 (th somo ya 10)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Video ya Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 4) Muangalie video na kuizungumuzia.

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Tumia ukurasa wa 1. (th somo ya 1)

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa 1. Jibia kizuia-mazungumuzo chenye watu wanazoea kutokeza mu eneo lenu. (th somo ya 3)

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa 1. Umuachie mutu kichapo kimoja kati ya Vyombo Vyetu vya Kufundishia. (th somo ya 9)

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 28

  • Ukuwe Rafiki ya Yehova​—Upange Vitu Muzuri: (Dak. 6) Muangalie video. Kisha ualike kwenye jukwaa watoto wenye ulitayarisha, na uwaulize: Namna gani Yehova alipanga kila kitu muzuri? Nini njo inasaidia kiboko aendelee kuwa safi? Juu ya nini unapaswa kusaidia kusafisha nyumba?

  • “Yehova Anapenda Watu Wenye Kuwa Safi”: (Dak. 9) Mazungumuzo. Muangalie video Mungu Anapenda Watu Wenye Kuwa Safi.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 87

  • Rudilia mambo fulani yenye mumejifunza, na useme mambo fulani ya kujifunza juma kesho (Dak. 3)

  • Wimbo 39 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine