Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb21 Mwezi wa 1 uku. 9
  • Mungu na Kristo Watatupatia Uhuru Wakati Wenye Kuja

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mungu na Kristo Watatupatia Uhuru Wakati Wenye Kuja
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Yehova Anatusaidiaka ili Tuvumilie Magumu
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Maulizo ya Wasomaji Wetu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2017
  • Namna ya Kuendelea Kuwa na Furaha Wakati wa Majaribu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2021
  • Tumushukuru Yehova na Tutabarikiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
mwb21 Mwezi wa 1 uku. 9
Yesu iko mu kiti chake cha Ufalme mbinguni na iko anaangalia chini. Nyuma yake kuko mwangaza wa kiti cha Ufalme cha Yehova.

MAISHA YA MUKRISTO

Mungu na Kristo Watatupatia Uhuru Wakati Wenye Kuja

Ni magumu gani yenye uko unapambana nayo? Uko kichwa ya familia na uko na madaraka ya mingi? Uko unachunga watoto peke yako na uko unapiganisha ili kuwategemeza? Uko mwanafunzi, na ku masomo yenu wanafunzi wenzako wanakuchokozaka? Uko unapambana na magumu ya afya ao uzee? Kila mutu anakuwaka na magumu. Wakristo mingi wako wanapambana na magumu mingi wakati uleule. Lakini, tunajua kama hivi karibuni Yehova atatutosha mu ile magumu yote.​—2Ko 4:16-18.

Kujua kama Yehova anaelewa magumu yetu, anafurahia uaminifu na uvumilivu wetu, na kama atatupatia baraka mingi wakati wenye kuja, kunatufariji sana leo. (Yer 29:11, 12) Yesu pia iko anatuhangaikia. Tuko hakika kama Yesu ataendelea ‘kuwa pamoja na sisi’ kadiri tunaendelea kufanya mambo yenye Wakristo wanapaswa kufanya. (Mt 28:20) Tunatia nguvu tumaini na azimio letu la kuvumilia magumu yenye tuko nayo sasa, wakati tunafikiri sana juu ya uhuru wenye tutapata wakati Ufalme wa Mungu utaanza kutawala dunia.​—Ro 8:19-21.

MUANGALIE VIDEO UPEPO MUKALI UNAKARIBIA, ENDELEA KUMUTAZAMA YESU​—BARAKA ZA UFALME ZA WAKATI WENYE KUJA, KISHA MUJIBIE HII MAULIZO:

  • Namna gani watu walijitenga na Mungu, na ile ilileta matokeo gani?

  • Ni baraka gani zenye Yehova atapatia wale wenye kuwa waaminifu kwake?

  • Nini njo itawezesha watu kupata zile baraka?

  • Ni baraka gani zenye uko unatazamia kwa hamu sana mu dunia mupya?

Picha: Watu wako wanafurahia Baraka mu Paradiso. 1. Dada moja anakumbati mutu mwenye amefufuka. 2. Wako na chakula mingi, wanaishi mu dunia yenye kuwa safi, na mwenye kuwa amani.

Wazia uko mu dunia mupya

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine