Tarehe 8-14/02
HESABU 1-2
Wimbo 123 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Yehova Anapanga Watu Wake”: (Dak. 10)
Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Hes 1:2, 3—Kusudi ya kuandikisha Waisraeli ilikuwa nini? (it-1-F uku. 767)
Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Hes 1:1-19 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 3) Ona sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Anzisha funzo la Biblia, na ufanye utangulizi wa video Tunajifunzaka Biblia na watu Namna Gani? (th somo ya 9)
Kumurudilia Mutu: (Dak. 4) Ona sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Patanisha habari yako na mahitaji ya musikilizaji, na umusomee andiko yenye inapatana na ile habari. (th somo ya 12)
Hotuba: (Dak. 5) w08-SW 1/7 uku. 21—Kichwa: Makabila ya Israeli Ilikuwa 13. Sasa, Juu ya Nini Biblia Inazungumuzia Sana Makabila 12 tu? (th somo ya 7)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 57
“Yehova Amepanga Watu Wake ili Kuhubiria Watu Wote”: (Dak. 10) Mazungumuzo. Muangalie video Ukuwe Rafiki ya Yehova—Uhubiri Katika Luga Ingine. Zungumuzia kwa kifupi sehemu fulani za JW Language®.
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 5)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 4 fu. 10-17
Maneno ya Kumalizia (Dak. 3)
Wimbo 1 na Sala