Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb21 Mwezi wa 3 uku. 14
  • Mutu Moja Anaweza Kufanya Mambo Ibadilike?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mutu Moja Anaweza Kufanya Mambo Ibadilike?
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Namna Yehova Anaongoza Watu Wake
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • “Mimi Ni . . . Uriti Wako”
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Yehova Anageuza Laana Kuwa Baraka
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
  • Namna Imani Inafanyaka Tukuwe na Uhodari
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2021
mwb21 Mwezi wa 3 uku. 14

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Mutu Moja Anaweza Kufanya Mambo Ibadilike?

Waisraeli walijaribiwa na Wamoabu mupaka wakafikia kufanya mambo ya mubaya (Hes 25:1, 2; lvs uku. 118 fu. 1-2)

Waisraeli walikosa uaminifu na walitafuta tu faida yao. Ile ilifanya Yehova akasirike (Hes 25:3-5; lvs uku. 119 fu. 4)

Kasirani ya Yehova ilitulia kwa sababu ya mutu moja mwenye alitenda kwa uhodari (Hes 25:6-11)

Dada moja kijana iko anatumia broshua ‘Chanzo cha Uhai’ ili kuelezea wanafunzi wenzake habari fulani. Mwanafunzi moja anaweka mukono juu.

UJIULIZE: ‘Ni mu hali gani mbalimbali mwenye ninapaswa kutenda kwa uhodari ili kuwa tofauti na watu wengine?’

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine