Tarehe 23-29/1
1 MAMBO YA NYAKATI 4-6
Wimbo 42 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
“Sala Zangu Zinaonyesha Kama Niko Mutu wa Namna Gani?”: (Dak. 10)
Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
1Ny 5:10—Ushindi wenye Waisraeli walipata juu ya Wahagri unaweza kututia moyo namna gani wakati tuko na magumu ya nguvu sana? (w05-SW 1/10 uku. 9 fu. 7)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo ingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 1Ny 6:61-81 (th somo ya 2)
TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 3) Zungumuzia habari yenye kuwa ku sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Jibia kizuia-mazungumuzo yenye watu wanazoea kutokeza. (th somo ya 3)
Kumurudilia Mutu: (Dak. 4) Anza na habari yenye kuwa ku sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Fanya utangulizi wa video Sababu Gani Ujifunze Biblia? (lakini usionyeshe) na muizungumuzie. (th somo ya 14)
Funzo ya Biblia: (Dak. 5) lff somo ya 08 kwa kifupi, maulizo ya kujikumbusha, na pima kufanya hivi (th somo ya 9)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 127
“Ujitayarishe Sasa kwa Ajili ya Matunzo ya Haraka”: (Dak. 15) Mazungumuzo na video. Itolewe na muzee. Kisha video, achia watu wakati wa kutoa majibu.
Funzo ya Biblia ya Kutaniko: (Dak. 30) lff somo ya 35
Maneno ya Kumalizia (Dak. 3)
Wimbo 88 na Sala