Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb25 Mwezi wa 1 uku. 8-9
  • Tarehe 3-9/2

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 3-9/2
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2025
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2025
mwb25 Mwezi wa 1 uku. 8-9

TAREHE 3-9/2

ZABURI 144-146

Wimbo 145 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

1. “Benye Furaha Ni Bale Benye Mungu Wabo Ni Yehova!”

(Dak. 10)

Yehova anakuwaka nabariki bale benye kumutumainia (Zb 144:11-15; w18.04 uku. 32 fu. 3-4)

Tuko na furaha juu tuko na tumaini (Zb 146:5; w22.10 uku. 28 fu. 16-17)

Bale benye Mungu wabo ni Yehova batakuwa na furaha milele (Zb 146:10; w18.01 uku. 26 fu. 19-20)

Picha mbalimbali za bandugu na badada ba miaka na desturi tofauti.

Wakati tunamutumikia Yehova kwa uaminifu, tunaweza kuwa na furaha hata kama tuko na magumu

2. Mali ya Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 145:15, 16​—Kama tunaheshimiaka uzima, tunapaswa kutendea banyama namna gani? (bh uku. 128 fu. 9)

  • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?

3. Usomaji wa Biblia

(Dak. 4) Zb 144:1-15 (th somo ya 11)

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

4. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Mwenye-nyumba anakuambia kama iko nasoma ku université. (lmd somo ya 1 nukta ya 5)

5. Kuendelesha Mazungumuzo

(Dak. 4) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Onyesha video moya yenye iko mu Byombo bya Kufundishia. (lmd somo ya 7 nukta ya 4)

6. Hotuba

(Dak. 4) lmd nyongeza ya A nukta ya 7​—Kichwa: Bibi Anapaswa Kumuheshimia Sana Bwana Yake. (th somo ya 1)

MAISHA YA MUKRISTO

Wimbo 59

7. Yehova Anapenda Ukuwe na Furaha

(Dak. 10) Mazungumuzo.

Yehova ni Mungu mwenye furaha. (1Ti 1:11) Ametupatia mazawadi ya mingi yenye inaonyesha kama anatupenda na anapenda tukuwe na furaha. (Muh 3:12, 13) Fikiria hii mazawadi mbili: chakula na sauti.

Barafiki balishaikala pembeni ya moto. Mumoya wabo iko napika kidari.

Muangalie VIDEO Uumbaji Unaonyesha Wazi Kuwa Yehova Anapenda Tukuwe Wenye Furaha—Chakula Kitamu na Sauti Zenye Kupendeza. Kisha uliza basikilizaji:

  • Namna gani zawadi ya chakula na sauti inakuhakikishia kama Yehova anapendaka ukuwe na furaha?

Soma Zaburi 32:8. Kisha uliza basikilizaji:

  • Namna gani kujua kama Yehova anapendaka ukuwe na furaha inakusaidia ukuwe tayari kufuata muongozo wenye anatupatia mu Biblia na kupitia tengenezo yake?

8. Mahitaji ya Kutaniko

(Dak. 5)

9. Funzo ya Biblia ya Kutaniko

(Dak. 30) bt sura ya 22 fu. 1-6

Maneno ya Kumalizia (Dak. 3) | Wimbo 85 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine