Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb25 Mwezi wa 3 uku. 11
  • Tarehe 14-20/4

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 14-20/4
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2025
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2025
mwb25 Mwezi wa 3 uku. 11

TAREHE 14-20/4

MEZALI 9

Wimbo 56 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

1. Ukuwe Mutu Mwenye Hekima, Hapana Mwenye Zihaka

(Dak. 10)

Kuliko kuitika shauri, mutu mwenye zihaka anakasirikiaka mwenye anamupatia shauri (Mez 9:7, 8a; w22.02 uku. 9 fu. 4)

Mutu mwenye hekima anafurahiaka shauri na anakuwaka nashukuru ule mwenye anamushauria (Mez 9:8b, 9; w22.02 uku. 12 fu. 12-14; w01 15/5 uku. 30 fu. 1-2)

Mutu mwenye hekima atapata faida, lakini mwenye zihaka atapata magumu (Mez 9:12; w01 15/5 uku. 30 fu. 5)

Dada moya kijana iko nasikiliza shauri yenye dada mwenye kuzeeka iko namupatia wakati biko nakula ku restora.

2. Mali ya Kiroho

(Dak. 10)

  • Mez 9:17—‘Mayi yenye mutu anaiba’ njo nini, na juu ya nini mutu mwenye zihaka anaionaka kuwa ‘butamu’? (w06 15/9 uku. 17 fu. 5)

  • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?

3. Usomaji wa Biblia

(Dak. 4) Mez 9:1-18 (th somo ya 5)

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

4. Kuendelesha Mazungumuzo

(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Mwenye-nyumba alihuzuria ku Ukumbusho. (lmd somo ya 8 nukta ya 3)

5. Kuendelesha Mazungumuzo

(Dak. 4) MAHUBIRI YA MAHALI PA WATU WENGI. Mara ya mwisho mulikutana, ulimuonyesha fasi kwenye Ukumbusho itafanyika karibu na kwake. (lmd somo ya 7 nukta ya 4)

6. Kuendelesha Mazungumuzo

(Dak. 4) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Mara ya mwisho mulikutana, ulionyesha mutu wa familia yako fasi kwenye Ukumbusho itafanyika karibu na kwake. (lmd somo ya 8 nukta ya 4)

MAISHA YA MUKRISTO

Wimbo 84

7. Pendeleo Yako Inakufanya Ujione Kuwa wa Maana Sana?

(Dak. 15) Mazungumuzo.

Muangalie VIDEO. Kisha uliza basikilizaji:

  • Neno “pendeleo” inamaanisha nini?

  • Bale benye kuwa na madaraka mu kutaniko banapaswa kujiona namna gani?

  • Juu ya nini kutumikia bengine njo jambo ya maana zaidi kuliko kuhangaikia madaraka?

8. Funzo ya Biblia ya Kutaniko

(Dak. 30) bt sura ya 25 fu. 5-7, kisanduku ku uku. 200

Maneno ya Kumalizia (Dak. 3) | Wimbo 42 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine