Gazeti la Funzo
MWEZI WA 12, 2021
HABARI ZA KUJIFUNZA: TAREHE 31/1–27/2/2022
© 2021 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
Gazeti hili haliko la kuuzisha. Linasaidia kufundisha watu Biblia mu dunia yote; feza za kusaidia ile kazi iendelee ni michango ya kujipendea yenye watu wanatoa. Ili kujua namna ya kutoa muchango wako, tafazali fungua donate.jw.org.
Maandiko inatoka mu Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya yenye inatumia luga ya sasa. Kama andiko linatoka mu tafsiri ingine, ile jambo itaonyeshwa.
PICHA KU JALADA:
Maneno “Utakatifu ni wa Yehova” ilikuwa kwenye bamba yenye kungaa ya zahabu kwenye kilemba ya kuhani mukubwa (Ona habari ya kujifunza ya 48, fungu ya 6-7)