Gazeti la Funzo
MWEZI WA 1, 2022
HABARI ZA KUJIFUNZA: TAREHE 28/2–3/4/2022
© 2021 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
ANDIKO YETU YA MWAKA WA 2022:
“Wale wenye kumutafuta Yehova hawatakosa kitu kizuri.”—ZB. 34:10
Hii gazeti haiko ya kuuzisha. Inasaidia kufundisha watu Biblia mu dunia yote. Makuta ya kusaidia ile kazi iendelee ni michango ya kujipendea yenye watu wanatoa. Juu ujue namna ya kutoa muchango, tunakuomba ufungule donate.jw.org
Maandiko inatoka mu Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya yenye inatumia luga ya sasa. Kama andiko inatoka mu tafsiri ingine, ile jambo itaonyeshwa.
PICHA KU JALADA:
Wakati wa taabu kubwa, majeshi ya Gogu wa Magogu inaweza kujaribu kutushambulia mu manyumba yetu. Lakini kujua kama Yesu na malaika wake wanajua mambo yenye kutokea na kama watatutetea, ile inatutuliza kabisa (Ona habari ya kujifunza ya 1, fungu ya 13)