Habari Zenye Kuwa Ndani
01/2016
© 2016 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
JUMA LA TAREHE 29/02/2016-6/03/2016
3 Muazimie Kuendeleza “Upendo Wenu wa Kindugu”!
Andiko letu la mwaka wa 2016 ni gani? Tunapaswa kufikiria nini kila mara wakati tutakuwa tunaona andiko letu la mwaka? Habari hii inatuonyesha namna gani andiko letu la mwaka linaweza kutuletea faida.
JUMA LA TAREHE 7-13/03/2016
9 Uache ‘Zawadi ya Bure Isiyoelezeka’ ya Mungu Ikuchochee
Yehova ametupatia ‘zawadi ya bure isiyoelezeka.’ (2 Wakorintho 9:15) Zawadi hiyo ni nini? Namna gani zawadi hiyo inatuchochea kumuiga Yesu Kristo, kupenda ndugu na dada zetu, na kuwasamehe kwa moyo wote? Kisha kupata majibu ya maulizo hayo, tutazungumuzia mambo fulani yenye tunaweza kufanya katika kipindi cha Ukumbusho.
JUMA LA TAREHE 14-20/03/2016
14 Roho Inatoa Ushahidi Pamoja na Roho Yetu
JUMA LA TAREHE 21-27/03/2016
20 Tunapenda ‘Kuenda Pamoja’ na Wewe
Habari hizi mbili zitafasiria namna mutu anaweza kujua ikiwa amepata mwaliko wa kuenda mbinguni, na inamaanisha nini kwake kuwa mutiwa-mafuta. Pia, tutazungumuzia namna Wakristo watiwa-mafuta wanapaswa kujiona na namna tunapaswa kutenda wakati tunaona hesabu ya wale wenye wanakula mukate na kunywa divai kwenye Ukumbusho inaongezeka.
JUMA LA TAREHE 28/03/2016–3/04/2016
27 Kufanya Kazi Pamoja na Mungu—Kunaleta Furaha
Sikuzote, Yehova amealika wengine wafanye kazi pamoja naye ili kutimiza kusudi lake. Anapenda habari njema ihubiriwe katika dunia yote, na ametualika tushiriki katika kazi hiyo. Habari hii inazungumuzia sababu gani kufanya kazi pamoja na Mungu kunatuletea furaha kubwa.
PICHA KWENYE JALADA:
MADAGASCAR
Katika muji wa Morondava, Madagascar, painia anasomea Biblia mutu mwenye kuendesha gari lenye kukokotwa na ngombe katika Barabara yenye kuwa na miti ya Baobab
WAHUBIRI
29 963
MAFUNZO YA BIBLIA
77 984
HUZURIO KWENYE UKUMBUSHO