B12-A
Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Katika Dunia (Sehemu ya 1)
Yerusalemu na Eneo la Pembeni-pembeni
Hekalu
Bustani ya Getsemane (?)
Nyumba ya Gavana
Nyumba ya Kayafa (?)
Nyumba Kwenye Herode Antipa Alikuwa Anafikia (?)
Kiziwa cha Maji cha Betzata
Kiziwa cha Maji cha Siloamu
Jumba la Sanhedrini (?)
Golgota (?)
Akeldama (?)
Uende ku siku ya: Nisani 8 | Nisani 9 | Nisani 10 | Nisani 11
Nisani 8 (Sabato)
KUSHUKA KWA JUA (Siku za Wayahudi zinaanza na kumalizika wakati jua linashuka)
Anafika Betania siku sita (6) mbele ya Pasaka
KUTOKEA KWA JUA
KUSHUKA KWA JUA
Nisani 9
KUSHUKA KWA JUA
Anakula pamoja na Simoni mwenye ukoma
Maria anamupakaa Yesu mafuta ya nardo
Wayahudi wanakuja kumuona Yesu na Lazaro
KUTOKEA KWA JUA
Anaingia Yerusalemu kwa vigelegele
Anafundisha katika hekalu
KUSHUKA KWA JUA
Nisani 10
KUSHUKA KWA JUA
Analala Betania
KUTOKEA KWA JUA
Anaenda Yerusalemu asubui sana
Anasafisha hekalu
Yehova anasema akiwa mbinguni
KUSHUKA KWA JUA
Nisani 11
KUSHUKA KWA JUA
KUTOKEA KWA JUA
Anafundisha katika hekalu, kwa kutumia mifano
Analaumu Wafarisayo
Anaangalia muchango wa mujane
Akiwa kwenye Mulima wa Mizeituni, anatabiri kuanguka kwa Yerusalemu na anatoa alama ya kuwapo kwake wakati wenye kuja