Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • nwt uku. 2042-2043
  • B12-A Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Katika Dunia (Sehemu ya 1)

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • B12-A Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Katika Dunia (Sehemu ya 1)
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Yerusalemu na Eneo la Pembeni-pembeni
  • Nisani 8 (Sabato)
  • Nisani 9
  • Nisani 10
  • Nisani 11
  • B12-B Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Katika Dunia (Sehemu ya 2)
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • Programu ya Usomaji wa Biblia kwa Ajili ya Ukumbusho wa 2023
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Programu ya 2022 ya Usomaji wa Biblia kwa Ajili ya Ukumbusho
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2022
  • Programu ya Usomaji wa Biblia kwa Ajili ya Ukumbusho wa 2024
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2024
Ona Habari Zaidi
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
B12-A Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Katika Dunia (Sehemu ya 1)

B12-A

Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Katika Dunia (Sehemu ya 1)

Maandishi

Yerusalemu na Eneo la Pembeni-pembeni

  1. Hekalu

  2. Bustani ya Getsemane (?)

  3. Nyumba ya Gavana

  4. Nyumba ya Kayafa (?)

  5. Nyumba Kwenye Herode Antipa Alikuwa Anafikia (?)

  6. Kiziwa cha Maji cha Betzata

  7. Kiziwa cha Maji cha Siloamu

  8. Jumba la Sanhedrini (?)

  9. Golgota (?)

  10. Akeldama (?)

Uende ku siku ya: Nisani 8 | Nisani 9 | Nisani 10 | Nisani 11

Nisani 8 (Sabato)

KUSHUKA KWA JUA (Siku za Wayahudi zinaanza na kumalizika wakati jua linashuka)

  • Anafika Betania siku sita (6) mbele ya Pasaka

  • Yohana 11:55–12:1

KUTOKEA KWA JUA

KUSHUKA KWA JUA

Rudia ku liste ya masiku yote

Nisani 9

KUSHUKA KWA JUA

  • Anakula pamoja na Simoni mwenye ukoma

  • Maria anamupakaa Yesu mafuta ya nardo

  • Wayahudi wanakuja kumuona Yesu na Lazaro

  • Matayo 26:6-13

  • Marko 14:3-9

  • Yohana 12:2-11

KUTOKEA KWA JUA

  • Anaingia Yerusalemu kwa vigelegele

  • Anafundisha katika hekalu

  • Matayo 21:1-11, 14-17

  • Marko 11:1-11

  • Luka 19:29-44

  • Yohana 12:12-19

KUSHUKA KWA JUA

Rudia ku liste ya masiku yote

Nisani 10

KUSHUKA KWA JUA

  • Analala Betania

KUTOKEA KWA JUA

  • Anaenda Yerusalemu asubui sana

  • Anasafisha hekalu

  • Yehova anasema akiwa mbinguni

  • Matayo 21:18, 19; 21:12, 13

  • Marko 11:12-19

  • Luka 19:45-48

  • Yohana 12:20-50

KUSHUKA KWA JUA

Rudia ku liste ya masiku yote

Nisani 11

KUSHUKA KWA JUA

KUTOKEA KWA JUA

  • Anafundisha katika hekalu, kwa kutumia mifano

  • Analaumu Wafarisayo

  • Anaangalia muchango wa mujane

  • Akiwa kwenye Mulima wa Mizeituni, anatabiri kuanguka kwa Yerusalemu na anatoa alama ya kuwapo kwake wakati wenye kuja

  • Matayo 21:19–25:46

  • Marko 11:20–13:37

  • Luka 20:1–21:38

KUSHUKA KWA JUA

Rudia ku liste ya masiku yote

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine