- Habari za Kufanana na Zile
1
Daudi na Abishagi (1-4)
Adoniya anatafuta kiti cha ufalme (5-10)
Natani na Bat-sheba wanachukua hatua (11-27)
Daudi anaagiza kwamba Sulemani atiwe mafuta (28-40)
Adoniya anakimbilia kwenye mazabahu (41-53)
2
Daudi anamupatia Sulemani maagizo (1-9)
Daudi anakufa; Sulemani kwenye kiti cha ufalme (10-12)
Mupango mubaya wa Adoniya unaongoza kwenye kifo chake (13-25)
Abiatari anafukuzwa; Yoabu anauawa (26-35)
Shimei anauawa (36-46)
3
Sulemani anamuoa binti ya Farao (1-3)
Yehova anamutokea Sulemani katika ndoto (4-15)
Sulemani anaamua kesi ya mama wawili (16-28)
4
Usimamizi katika utawala wa Sulemani (1-19)
Mafanikio katika utawala wa Sulemani (20-28)
Hekima na mezali za Sulemani (29-34)
5
6
7
Majengo yenye kuzunguka nyumba ya kifalme ya Sulemani (1-12)
Hiramu mwenye ufundi anamusaidia Sulemani (13-47)
Nguzo mbili za shaba (15-22)
Bahari ya metali yenye kuyeyushwa (23-26)
Magari kumi na beseni za shaba (27-39)
Vyombo vya zahabu vinamalizwa (48-51)
8
Sanduku linaletwa katika hekalu (1-13)
Sulemani anasema na watu (14-21)
Sala ya Sulemani ya kumutolea Mungu hekalu (22-53)
Sulemani anabariki watu (54-61)
Zabihu na sikukuu ya kumutolea Mungu hekalu (62-66)
9
Yehova anamutokea tena Sulemani (1-9)
Zawadi ya Sulemani kwa Mufalme Hiramu (10-14)
Mipango mbalimbali ya Sulemani (15-28)
10
11
Bibi za Sulemani wanageuza moyo wake (1-13)
Wapinzani wa Sulemani (14-25)
Yeroboamu anaahidiwa makabila kumi (26-40)
Sulemani anakufa; Rehoboamu anafanywa kuwa mufalme (41-43)
12
Jibu la ukali la Rehoboamu (1-15)
Makabila kumi yanaasi (16-19)
Yeroboamu anafanywa kuwa mufalme wa Israeli (20)
Rehoboamu anaambiwa asipigane na Israeli (21-24)
Ibada ya Yeroboamu ya kitoto-dume cha ngombe (25-33)
13
14
15
Abiyamu, mufalme wa Yuda (1-8)
Asa, mufalme wa Yuda (9-24)
Nadabu, mufalme wa Israeli (25-32)
Baasha, mufalme wa Israeli (33, 34)
16
Hukumu ya Yehova juu ya Baasha (1-7)
Ela, mufalme wa Israeli (8-14)
Zimri, mufalme wa Israeli (15-20)
Omri, mufalme wa Israeli (21-28)
Ahabu, mufalme wa Israeli (29-33)
Hieli anajenga upya Yeriko (34)
17
Nabii Eliya anatabiri ukame (1)
Eliya analishwa na kunguru (2-7)
Eliya anamutembelea mujane katika Sarefati (8-16)
Mwana wa mujane anakufa na anafufuliwa (17-24)
18
Eliya anakutana na Obadia na Ahabu (1-18)
Eliya anapambana na manabii wa Baali kule Karmeli (19-40)
Ukame wa miaka tatu na nusu unaisha (41-46)
19
Eliya anakimbia kasirani kali ya Yezebeli (1-8)
Yehova anamutokea Eliya kule Horebu (9-14)
Eliya anaambiwa amutie mafuta Hazaeli, Yehu, Elisha (15-18)
Elisha anawekwa ili kuchukua nafasi ya Eliya (19-21)
20
Wasiria wanapigana vita na Ahabu (1-12)
Ahabu anashinda Wasiria (13-34)
Unabii juu ya Ahabu (35-43)
21
Ahabu anatamani shamba la mizabibu la Naboti (1-4)
Yezebeli anapanga mupango wa kumuua Naboti (5-16)
Ujumbe wa Eliya juu ya Ahabu (17-26)
Ahabu anajinyenyekeza (27-29)
22
Mapatano ya Yehoshafati pamoja na Ahabu (1-12)
Mikaya anatabiri kushindwa (13-28)
Ahabu anauawa kule Ramoti-gileadi (29-40)
Utawala wa Yehoshafati juu ya Yuda (41-50)
Ahazia mufalme wa Israeli (51-53)