- Habari za Kufanana na Zile
YOBU
HABARI ZENYE KUWA NDANI
1
Uaminifu-mushikamanifu na utajiri wa Yobu (1-5)
Shetani anatilia mashaka nia ya Yobu (6-12)
Yobu anapoteza mali na watoto wake (13-19)
Yobu hamulaumu Mungu (20-22)
2
Shetani anatilia tena mashaka nia ya Yobu (1-5)
Shetani anaruhusiwa kupiga mwili wa Yobu (6-8)
Bibi ya Yobu: “Laani Mungu na ukufe!” (9, 10)
Marafiki watatu wa Yobu wanafika (11-13)
3
4
5
6
Jibu la Yobu (1-30)
Anasema kuwa iko na sababu ya kulia (2-6)
Wafariji wake ni wajanja (15-18)
“Maneno ya kweli hayaumize!” (25)
7
8
9
Jibu la Yobu (1-35)
Mwanadamu mwenye anaweza kufa hawezi kushindana na Mungu (2-4)
‘Mungu anafanya mambo yenye hayawezi kuchunguzwa’ (10)
Mutu hawezi kubishana na Mungu (32)
10
11
12
Jibu la Yobu (1-25)
“Mimi siko mudogo kuliko ninyi” (3)
“Nimekuwa kitu cha kuchekwa” (4)
‘Mungu iko na hekima’ (13)
Mungu iko juu kuliko waamuzi na wafalme (17, 18)
13
14
15
16
17
18
19
Jibu la Yobu (1-29)
Anakataa makaripio ya “marafiki” wake (1-6)
Anasema kwamba ameachwa (13-19)
“Mukombozi wangu iko muzima” (25)
20
21
22
23
Jibu la Yobu (1-17)
Anataka kupeleka kesi yake ya hukumu mbele ya Mungu (1-7)
Anasema kwamba hawezi kumupata Mungu (8, 9)
“Nimefuata njia yake bila kugeukia upande mwingine” (11)
24
25
26
Jibu la Yobu (1-14)
“Mumemusaidia mutu mwenye hana nguvu kabisa!” (1-4)
‘Mungu ananinginiza dunia mahali kwenye hakuna kitu’ (7)
‘Sehemu za pembeni-pembeni tu za njia za Mungu’ (14)
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
Yobu anamujibu Yehova (1-6)
Marafiki watatu wa Yobu wanalaumiwa (7-9)
Yehova anamurudisha Yobu katika hali ya muzuri (10-17)