- Habari za Kufanana na Zile
ISAYA
HABARI ZENYE KUWA NDANI
1
Baba na wana wake waasi (1-9)
Yehova anachukia ibada ya kidesturi (10-17)
“Tunyooshe mambo” (18-20)
Sayuni itarudishwa kuwa muji muaminifu (21-31)
2
3
4
5
Wimbo kuhusu shamba la Yehova la mizabibu (1-7)
Ole kwa shamba la Yehova la mizabibu (8-24)
Kasirani ya Mungu juu ya watu wake (25-30)
6
Katika maono, Isaya anamuona Yehova katika hekalu lake (1-4)
Midomo ya Isaya inasafishwa (5-7)
Isaya anatumwa (8-10)
“Mupaka wakati gani, Ee Yehova?” (11-13)
7
Ujumbe kwa Mufalme Ahazi (1-9)
Alama ya Emanueli (10-17)
Matokeo ya kukosa uaminifu (18-25)
8
Shambulizi lenye kuja la Ashuru (1-8)
Usiogope—“Mungu iko pamoja na sisi!” (9-17)
Isaya na watoto wake ni alama (18)
Mutafute habari katika sheria, hapana kwa pepo wachafu (19-22)
9
10
Mukono wa Mungu unashambulia Israeli (1-4)
Ashuru—Fimbo ya kasirani ya Mungu (5-11)
Ashuru anapewa azabu (12-19)
Mabaki wa Yakobo watarudia (20-27)
Mungu atahukumu Ashuru (28-34)
11
12
13
14
Israeli watakaa kwenye inchi yao (1, 2)
Maneno ya kumuchokoza mufalme wa Babiloni (3-23)
Mukono wa Yehova utamuponda Mwashuru (24-27)
Tangazo juu ya Ufilisti (28-32)
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
Ole wao walevi wa Efraimu! (1-6)
Makuhani na manabii wa Yuda wanayumba-yumba (7-13)
“Agano pamoja na Kifo” (14-22)
Nizamu yenye hekima ya Yehova inaelezwa kupitia mifano (23-29)
29
30
Musaada wa Misri hauna mafaa yoyote kabisa (1-7)
Watu wanakataa ujumbe wa unabii (8-14)
Mutakuwa na nguvu kama munakuwa na tumaini (15-17)
Yehova anaonyesha watu wake wema (18-26)
Yehova ataleta hukumu juu ya Ashuru (27-33)
31
32
Mufalme na wakubwa watatawala kwa ajili ya haki ya kweli (1-8)
Wanamuke wenye hawahangaike wanaonywa (9-14)
Baraka wakati roho itamwangwa (15-20)
33
34
35
36
37
Hezekia anatafuta musaada wa Mungu kupitia Isaya (1-7)
Senakeribu anaogopesha Yerusalemu (8-13)
Sala ya Hezekia (14-20)
Isaya anajulisha jibu la Mungu (21-35)
Malaika anaua Waashuru elfu mia moja makumi munane na tano (36-38)
38
39
40
41
Mushindi kutoka mahali jua linatokea (1-7)
Israeli anachaguliwa kuwa mutumishi wa Mungu (8-20)
Miungu mingine inajaribiwa (21-29)
42
Mutumishi wa Mungu na kazi yenye alitumwa kufanya (1-9)
Wimbo mupya wa kumusifu Yehova (10-17)
Israeli ni kipofu na kiziwi (18-25)
43
Yehova anakusanya tena watu wake (1-7)
Miungu inajaribiwa (8-13)
Kukombolewa kutoka Babiloni (14-21)
“Tuende pamoja kwenye tribinali” (22-28)
44
Baraka juu ya watu wa Mungu wenye kuchaguliwa (1-5)
Hakuna Mungu isipokuwa Yehova (6-8)
Upumbavu wa sanamu zenye kutengenezwa na wanadamu (9-20)
Yehova, Mukombozi wa Israeli (21-23)
Kurudishwa upya kupitia Koreshi (24-28)
45
Koreshi anachaguliwa ili kukamata Babiloni (1-8)
Udongo haupaswe kushindana na Mufinyanzi (9-13)
Mataifa mengine yanatambua Israeli (14-17)
Mungu ni mwenye kutegemeka katika uumbaji na katika kufunua mambo (18-25)
46
47
48
Israeli anakemewa na kusafishwa (1-11)
Yehova atakamata hatua juu ya Babiloni (12-16a)
Mafundisho ya Mungu ni yenye faida (16b-19)
“Mutoke katika Babiloni!” (20-22)
49
50
51
Sayuni inarudishwa kama bustani ya Edeni (1-8)
Faraja kutoka kwa Mutengenezaji wa Sayuni mwenye nguvu (9-16)
Kikombe cha kasirani kali ya Yehova (17-23)
52
53
54
55
56
57
Mwenye haki na pia watu washikamanifu wanaangamia (1, 2)
Ukahaba wa kiroho wa Israeli unafunuliwa (3-13)
Faraja kwa watu wa hali ya chini (14-21)
58
59
60
61
62
63
64
65
66
Ibada ya kweli na ibada ya uongo (1-6)
Mama Sayuni na wana wake (7-17)
Watu wanakusanyika Yerusalemu ili kuabudu (18-24)