DANIELI
HABARI ZENYE KUWA NDANI
1
Yerusalemu inazungukwa na Wababiloni kwa ajili ya vita (1, 2)
Mazoezi ya pekee ya vijana wa kifalme wenye walikamatwa mateka (3-5)
Uaminifu wa vijana ine Waebrania unajaribiwa (6-21)
2
Mufalme Nebukadneza anaota ndoto yenye kuhangaisha (1-4)
Wenye hekima wote wanashindwa kueleza ndoto (5-13)
Danieli anamuomba Mungu musaada (14-18)
Mungu anasifiwa kwa kufunua siri (19-23)
Danieli anamuelezea mufalme ndoto hiyo (24-35)
Maana ya ndoto (36-45)
Mufalme anamupatia Danieli heshima (46-49)
3
Sanamu ya zahabu ya Mufalme Nebukadneza (1-7)
Waebrania watatu wanashitakiwa kwamba wamekosa kutii (8-18)
Wanatupwa ndani ya tanuru yenye kuwaka moto (19-23)
Wanaokolewa kwa njia ya muujiza kutoka katika moto (24-27)
Mufalme anamusifu Mungu wa Waebrania (28-30)
4
Mufalme Nebukadneza anatambua kuwa Mungu ni mufalme (1-3)
Ndoto ya mufalme kuhusu muti (4-18)
Danieli anafasiria maana ya ndoto (19-27)
Utimizo wa kwanza juu ya mufalme (28-36)
Mufalme anamutukuza Mungu wa mbinguni (37)
5
Karamu ya mufalme Belshaza (1-4)
Maandishi ya mukono kwenye ukuta (5-12)
Danieli anaombwa afasirie maana ya maandishi (13-25)
Mafasirio: Kuanguka kwa Babiloni (26-31)
6
Maofisa Waajemi wanafanya mupango mubaya juu ya Danieli (1-9)
Danieli anaendelea kusali (10-15)
Danieli anatupwa ndani ya shimo la simba (16-24)
Mufalme Dario anamuheshimia Mungu wa Danieli (25-28)
7
Maono ya wanyama ine (1-8)
Muzee wa Siku anafanya kikao (9-14)
Danieli anajulishwa maana ya maono (15-28)
Wanyama ine ni wafalme ine (17)
Watakatifu watapokea ufalme (18)
Pembe kumi, ao wafalme, wanasimama (24)
8
9
Sala ya kuungama ya Danieli (1-19)
Gabrieli anakuja kwa Danieli (20-23)
Majuma makumi saba ya kiunabii yanatabiriwa (24-27)
Masiya atatokea kisha majuma makumi sita na kenda (25)
Masiya atakatiliwa mbali (26)
Muji na mahali patakatifu vitaharibiwa (26)
10
11
12