Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • ll sehemu 2 uku. 6-7
  • Mungu wa Kweli Ni Nani?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mungu wa Kweli Ni Nani?
  • Umusikilize Mungu ili Uishi Milele
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Sehemu ya 2
    Umusikilize Mungu
  • Maulizo juu ya habari za Biblia yanajibiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Roho Hawako Watu Wenye Waliishi ku Dunia Kisha Wakakufa
    Roho za Wafu—Zinaweza Kukusaidia ao Kukutendea Mubaya? Zinakuwaka Kabisa?
  • Mungu Ni Nani?
    Biblia Inatufundisha Nini?
Ona Habari Zaidi
Umusikilize Mungu ili Uishi Milele
ll sehemu 2 uku. 6-7

SEHEMU YA 2

Mungu wa Kweli Ni Nani?

Akiwa kwenye kiti chake cha Ufalme mbinguni, Yehova anaangalia viumbe vyake vyenye kuwa mbinguni na vyenye kuwa ku dunia

Kuko Mungu mumoja tu wa kweli na jina lake ni Yehova. (Zaburi 83:18) Yeye ni Roho; hatuwezi kumuona. Anatupenda na anataka sisi pia tumupende. Anataka pia tupende watu wengine. (Matayo 22:35-40) Iko Mweza-Yote, Muumbaji wa vitu vyote.

Mbele ya kuumba vitu vingine vyote, Mungu aliumba kwanza malaika mumoja mwenye nguvu, mwenye alifikia kuitwa Yesu Kristo. Yehova aliumba pia malaika wengine.

Yehova aliumba kila kitu chenye kuwa mbinguni . . . na kila kitu chenye kuwa ku dunia. Ufunuo 4:11

Yehova Mungu aliumba nyota, dunia, na kila kitu chenye kuwa ku dunia.​—Mwanzo 1:1.

Alitumia mavumbi ya udongo ili kumufanya Adamu, mwanaume wa kwanza.​—Mwanzo 2:7.

  • Juu ya nini tunapaswa kumuheshimia Yehova?​—Isaya 42:5.

  • Taja sifa fulani za Mungu.​—Kutoka 34:6.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine