Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • ll sehemu 7 uku. 16-17
  • Yesu Alikuwa Nani?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yesu Alikuwa Nani?
  • Umusikilize Mungu ili Uishi Milele
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Sehemu ya 7
    Umusikilize Mungu
  • Yesu Kristo Ni Nani?
    Biblia Inatufundisha Nini?
  • Maulizo juu ya habari za Biblia yanajibiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Yesu Kristo Ni Nani?
    Biblia Inafundisha Kabisa Nini?
Ona Habari Zaidi
Umusikilize Mungu ili Uishi Milele
ll sehemu 7 uku. 16-17

SEHEMU YA 7

Yesu Alikuwa Nani?

Yehova alimutuma Yesu hapa ku dunia. 1 Yohana 4:9

Yesu iko kwenye mukono wa kuume wa Mungu mbinguni

Kama tunapenda kumufurahisha Yehova, tunapaswa kusikiliza mutu mwingine wa maana sana. Wakati murefu mbele ya kuumba Adamu, Yehova aliumba malaika mumoja mwenye nguvu kule mbinguni.

Wakati Maria alikuwa na mimba na kisha Yesu kuzaliwa

Kisha wakati fulani, Yehova alituma ule malaika azaliwe ku dunia. Bikira mwenye aliitwa Maria njo mwenye alimuzaa mu muji wa Betlehemu. Ule mutoto aliitwa Yesu.​—Yohana 6:38.

Yesu anafundisha watu juu ya Yehova

Wakati Yesu alikuwa mwanadamu ku dunia, alionyesha sifa za Mungu kwa ukamilifu. Alikuwa mwema, mwenye upendo, na watu hawakuogopa kumukaribia ili kuzungumuza naye. Bila kuogopa, alifundisha wengine kweli juu ya Yehova.

Yesu alifanya mambo ya muzuri lakini watu walimuchukia. 1 Petro 2:21-24

Yesu anafufua mutoto mumoja mwanamuke na anaponyesha mwanaume mumoja

Tena, Yesu aliponyesha wagonjwa na kufufua watu fulani wenye walikuwa wamekufa.

Viongozi wa dini (réligion) walimuchukia Yesu juu alionyesha waziwazi mafundisho yao ya uongo na matendo yao ya mubaya.

Yesu anapigwa na kisha anauawa

Viongozi wa dini walisukuma Waroma ili wamupige Yesu na kumuua.

  • Juu ya nini ni jambo la maana kujifunza juu ya Yesu?​—Yohana 17:3.

  • Yesu alifanya nini mbinguni mbele akuje ku dunia?​—Wakolosai 1:15-17.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine