Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • ll sehemu 9 uku. 20-21
  • Dunia Itakuwa Paradiso Wakati Gani?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Dunia Itakuwa Paradiso Wakati Gani?
  • Umusikilize Mungu ili Uishi Milele
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Paradiso Iko Karibu!
    Unaweza Kuwa Rafiki ya Mungu!
  • Sehemu ya 9
    Umusikilize Mungu
  • Tunaishi Kweli Katika “Siku za Mwisho”?
    Biblia Inafundisha Kabisa Nini?
  • Mwisho wa Dunia Uko Karibu?
    Biblia Inatufundisha Nini?
Ona Habari Zaidi
Umusikilize Mungu ili Uishi Milele
ll sehemu 9 uku. 20-21

SEHEMU YA 9

Dunia Itakuwa Paradiso Wakati Gani?

Mateso yenye kuwa mu dunia inaonyesha kama Ufalme wa Mungu uko karibu kutenda. Luka 21:​10, 11; 2 Timoteo 3:​1-5

Magumu yenye kutokea kila mahali mu siku za mwisho​—michezo ya feza, vita, magonjwa, njaa, kukosa kutii wazazi, na kutendewa kwa jeuri nyumbani

Kuko mambo mingi sana yenye Biblia ilisema mbele ya wakati kama itatokea, na ile mambo iko inaonekana leo. Biblia ilisema kama watu watakuwa wenye kupenda feza, wenye hawatii ao kusikia wazazi wao, wakali, na wenye kupenda raha ao mambo ya kujifurahisha sana.

Tena, ilisema kama kutakuwa matetemeko makubwa ya inchi, vita, njaa, na magonjwa yenye kuenea sana. Ile mambo iko inaonekana leo.

Shahidi mumoja wa Yehova anahubiria mwanaume mumoja habari njema ya Ufalme

Tena, Yesu alisema kama habari njema ya Ufalme itahubiriwa mu dunia yote.​—Matayo 24:14.

Ufalme utamaliza mambo yote ya mubaya. 2 Petro 3:​13

Watu wabaya wanaharibiwa kwenye Armagedoni, kisha Shetani na pepo wake wachafu wanapewa azabu

Hivi karibuni, Yehova ataua watu wabaya wote.

Shetani na pepo wake wachafu watapewa azabu ao malipizi.

Yesu anakaa kwenye kiti cha ufalme na watu wa rangi mbalimbali ya ngozi wanafurahi

Wale wenye wanamusikiliza Mungu wataokoka na kuingia mu dunia yenye haki, kwenye hakutakuwa tena woga, watu watapendana na kila mutu atatumainia mwenzake.

  • Ni mambo gani yenye Yesu alisema kama itatokea mu wakati wetu?​—Matayo 24:​3-​14.

  • Watu wabaya watauawa.​—2 Petro 3:7.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine