Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • ll sehemu 10 uku. 22-23
  • Watu Wenye Wanamusikiliza Mungu Watapata Baraka Gani?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Watu Wenye Wanamusikiliza Mungu Watapata Baraka Gani?
  • Umusikilize Mungu ili Uishi Milele
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Sehemu ya 10
    Umusikilize Mungu
  • “Tazama! Ninafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Marafiki Wa Mungu Wataishi Katika Paradiso
    Unaweza Kuwa Rafiki ya Mungu!
  • Kusudi la Mungu Ni Nini Kuhusu Dunia?
    Mungu Anataka Nini Kwetu?
Ona Habari Zaidi
Umusikilize Mungu ili Uishi Milele
ll sehemu 10 uku. 22-23

SEHEMU YA 10

Watu Wenye Wanamusikiliza Mungu Watapata Baraka Gani?

Watu wengi wenye wamekufa watafufuliwa ili waishi ku dunia. Matendo 24:15

Watu mu Paradiso wanakaribisha wale wenye wamefufuliwa

Wazia baraka zenye utapata wakati wenye kuja kama unamusikiliza Yehova! Utakuwa na afya kamilifu; hakuna mutu mwenye atagonjwa tena ao kuwa na uzaifu fulani wa mwili. Hakutakuwa tena watu wabaya na utatumainia kila mutu.

Hakutakuwa maumivu, huzuni, ao machozi. Hakuna mutu mwenye atazeeka na kufa.

Utazungukwa na marafiki na watu wa familia. Mu Paradiso, maisha itakuwa yenye furaha kabisa.

Hakutakuwa kitu cha kuogopesha. Watu watakuwa wenye furaha kabisa.

Ufalme wa Mungu utamaliza mateso yote. Ufunuo 21:3, 4

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine