Somo 1
Ni nani aliyeumba dunia?
Ni nani aliyeumba bahari?
Ni nani aliyetuumba mimi na wewe?
Ni nani aliyeumba kipepeo na mabawa yake yenye rangi-rangi?
Ni Yehova Mungu ndiye aliyeumba vitu vyote.
MAZOEZI
Umusomee mutoto wako:
Umuombe aonyeshe:
Nyota Mawingu Jua
Mashua Dunia Nyumba
Bahari Kipepeo
Umuulize mutoto wako:
Jina la Mungu ni nani?
Yehova iko wapi?
Yehova aliumba nini?
[Picha katika ukurasa wa 4, 5]