Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
NAMBA ZA SOMO
Watu wote ni wa maana mbele ya Yehova 8, 9, 11, 21, 23, 68, 70, 74, 87, 90
Ukuwe unamushukuru Yehova kila siku 2, 6, 67, 103
Kasirani haiko muzuri 4, 12, 41, 45, 49, 65, 89
Ukuwe hodari—Yehova atakusaidia sikuzote 40, 47, 51, 53, 57, 61, 64, 65, 76, 88, 101
Usivunjike moyo wakati unateseka 16, 47, 51, 57, 64, 75, 90, 95, 99, 101
Shetani njo alianzishaka ibada ya uongo 19, 20, 22, 38, 46, 49, 52, 58
Ukuwe unasamehe wengine sawa vile Yehova anakuwaka anakusamehe 13, 15, 31, 43, 92
Marafiki wazuri ni wale wenye kumupenda Yehova 16, 33, 42, 80, 87, 100, 103
Mungu alitupatia Biblia ili tukuwe na hekima 56, 66, 72, 75, 81
Ufalme wa Mungu utaletea watu wote furaha 1, 48, 62, 79, 81, 83, 85, 86
Mapenzi ya Mungu yenye itafanyika mbinguni ku dunia 25, 55, 60, 62, 63, 71, 96, 102
Hauwezi kumupenda Mungu kama haumupende ndugu yako 4, 13, 15, 41
Wivu unaharibishaka urafiki 4, 14, 41
Yehova anaongoza watu wake 18, 25, 26, 27, 29, 34, 39, 44, 73, 80
Yehova ni Mweza-Yote 1, 7, 18, 19, 20, 21, 22, 26, 55, 60
Yehova anasikilizaka wakati tunasali kutoka mu moyo 35, 38, 50, 64, 82
Yehova anapenda watu wa mataifa yote 30, 33, 48, 54, 77, 94, 97, 98, 99
Yehova alitufanyia fasi ya kuishi: dunia 1, 2, 102, 103
Yehova hasemake uongo 3, 10, 16, 63, 68, 70, 102, 103
Yehova analinda wanyenyekevu 43, 45, 65, 67, 69
Yehova analinda wale wenye wanamupenda 6, 22, 40, 50, 52, 55, 64, 71, 84
Yehova hatasahau hata kidogo mambo yenye tunamufanyiaka 16, 29, 32, 48, 65, 69, 77, 100
Yesu njo Mufalme wa Ufalme wa Mungu—unapaswa kumutii 74, 78, 79, 83, 84, 85, 91, 92, 99
Ukuwe unatimiza mambo yenye unasema—ni vile Yehova anafanyaka 8, 9, 11, 23, 24, 31, 34, 35, 36, 66, 93
Sikiliza na utii ili uishi 3, 5, 10, 37, 39, 54, 59, 65, 72
Fanya urafiki pamoja na Yehova 11, 30, 33, 51, 56, 59, 69, 81, 82
Usikuwe unafanya mambo ya mubaya 14, 27, 49, 53, 58, 88, 89
Heshimia mambo yenye Yehova anakupatia 12, 13, 24, 35, 36, 56, 75, 95, 100
Waasi ni maadui wa Mungu 7, 17, 26, 27, 28, 88
Kujipenda mwenye kuko na matokeo ya mubaya juu yako na juu ya wengine 3, 4, 12, 27, 28, 39, 49, 88
Kutakuwa ufufuo 48, 86, 91, 93
Tunapaswa kuhubiri habari njema ya Ufalme 73, 76, 94, 95, 96, 97, 98
Watu wabaya hawatakuwa tena 5, 10, 32, 46, 102
Hauwezi kumutumikia Mungu na Utajiri 10, 17, 44, 59, 75, 76
Vijana—mumupende Yehova kwa moyo wenu wote 37, 51, 59, 61, 72, 100