Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • lfb uku. 240
  • Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Sehemu ya 4
    Furahia Maisha Milele!—Ujifunze Biblia kwa Njia ya Mazungumuzo
  • Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • Ripoti za Inchi na Eneo
    Ripoti ya Mwaka wa Utumishi ya Mashahidi wa Yehova Katika Dunia Yote ya 2021
Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
lfb uku. 240

Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia

NAMBA ZA SOMO

Watu wote ni wa maana mbele ya Yehova 8, 9, 11, 21, 23, 68, 70, 74, 87, 90

Ukuwe unamushukuru Yehova kila siku 2, 6, 67, 103

Kasirani haiko muzuri 4, 12, 41, 45, 49, 65, 89

Ukuwe hodari​—Yehova atakusaidia sikuzote 40, 47, 51, 53, 57, 61, 64, 65, 76, 88, 101

Usivunjike moyo wakati unateseka 16, 47, 51, 57, 64, 75, 90, 95, 99, 101

Shetani njo alianzishaka ibada ya uongo 19, 20, 22, 38, 46, 49, 52, 58

Ukuwe unasamehe wengine sawa vile Yehova anakuwaka anakusamehe 13, 15, 31, 43, 92

Marafiki wazuri ni wale wenye kumupenda Yehova 16, 33, 42, 80, 87, 100, 103

Mungu alitupatia Biblia ili tukuwe na hekima 56, 66, 72, 75, 81

Ufalme wa Mungu utaletea watu wote furaha 1, 48, 62, 79, 81, 83, 85, 86

Mapenzi ya Mungu yenye itafanyika mbinguni ku dunia 25, 55, 60, 62, 63, 71, 96, 102

Hauwezi kumupenda Mungu kama haumupende ndugu yako 4, 13, 15, 41

Wivu unaharibishaka urafiki 4, 14, 41

Yehova anaongoza watu wake 18, 25, 26, 27, 29, 34, 39, 44, 73, 80

Yehova ni Mweza-Yote 1, 7, 18, 19, 20, 21, 22, 26, 55, 60

Yehova anasikilizaka wakati tunasali kutoka mu moyo 35, 38, 50, 64, 82

Yehova anapenda watu wa mataifa yote 30, 33, 48, 54, 77, 94, 97, 98, 99

Yehova alitufanyia fasi ya kuishi: dunia 1, 2, 102, 103

Yehova hasemake uongo 3, 10, 16, 63, 68, 70, 102, 103

Yehova analinda wanyenyekevu 43, 45, 65, 67, 69

Yehova analinda wale wenye wanamupenda 6, 22, 40, 50, 52, 55, 64, 71, 84

Yehova hatasahau hata kidogo mambo yenye tunamufanyiaka 16, 29, 32, 48, 65, 69, 77, 100

Yesu njo Mufalme wa Ufalme wa Mungu​—unapaswa kumutii 74, 78, 79, 83, 84, 85, 91, 92, 99

Ukuwe unatimiza mambo yenye unasema​—ni vile Yehova anafanyaka 8, 9, 11, 23, 24, 31, 34, 35, 36, 66, 93

Sikiliza na utii ili uishi 3, 5, 10, 37, 39, 54, 59, 65, 72

Fanya urafiki pamoja na Yehova 11, 30, 33, 51, 56, 59, 69, 81, 82

Usikuwe unafanya mambo ya mubaya 14, 27, 49, 53, 58, 88, 89

Heshimia mambo yenye Yehova anakupatia 12, 13, 24, 35, 36, 56, 75, 95, 100

Waasi ni maadui wa Mungu 7, 17, 26, 27, 28, 88

Kujipenda mwenye kuko na matokeo ya mubaya juu yako na juu ya wengine 3, 4, 12, 27, 28, 39, 49, 88

Kutakuwa ufufuo 48, 86, 91, 93

Tunapaswa kuhubiri habari njema ya Ufalme 73, 76, 94, 95, 96, 97, 98

Watu wabaya hawatakuwa tena 5, 10, 32, 46, 102

Hauwezi kumutumikia Mungu na Utajiri 10, 17, 44, 59, 75, 76

Vijana​—mumupende Yehova kwa moyo wenu wote 37, 51, 59, 61, 72, 100

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine