Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • lfb uku. 22-23
  • Utangulizi wa Sehemu ya 3

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Utangulizi wa Sehemu ya 3
  • Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Yehova Alimuita “Rafiki Yangu”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2016
  • Unaweza Kuwa Rafiki ya Yehova
    Furahia Maisha Milele!—Ujifunze Biblia kwa Njia ya Mazungumuzo
  • Abrahamu Alikuwa Nani?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Abrahamu—Mwanamume Mwenye Upendo
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
Ona Habari Zaidi
Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
lfb uku. 22-23
Abrahamu anafundisha Isaka juu ya nyota

Utangulizi wa Sehemu ya 3

Biblia inazungumuzia watu kidogo sana wenye walimutumikia Yehova kisha Garika. Kwa mufano Abrahamu, mwenye alijulikana kuwa rafiki ya Yehova. Juu ya nini Yehova alimuita rafiki yake? Kama uko muzazi, fundisha mutoto wako kama Yehova anamupenda kabisa na anataka kumusaidia. Kama Abrahamu na wanaume wengine waaminifu, sawa vile Loti na Yakobo, tunaweza kumuomba Yehova kwa uhuru wote ili atusaidie. Tunaweza kuwa hakika kama Yehova atatimiza mambo yote yenye anasema atafanya.

MAMBO YA KUJIFUNZA

  • Fanya mambo yote yenye Yehova anataka ufanye, hata kama haiko mwepesi

  • Urafiki pamoja na Mungu ni wa maana kupita mambo ingine yote

  • Yehova anafurahi wakati tunasamehe wengine na kufanya amani bila kukawia

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine