Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • lfb uku. 136-137
  • Utangulizi wa Sehemu ya 10

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Utangulizi wa Sehemu ya 10
  • Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Walikataa Kuinamia Sanamu
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • Alihatarisha Uzima Wake ili Kulinda Watu wa Mungu
    Tuige Imani Yao
  • Alitenda kwa Hekima, Ujasiri na kwa Kujinyima
    Tuige Imani Yao
  • Aliwatetea Watu wa Mungu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
Ona Habari Zaidi
Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
lfb uku. 136-137
Mufalme Ahasuero ananyooshea Malkia Esta fimbo yake

Utangulizi wa Sehemu ya 10

Yehova ni mukubwa kupita wafalme wote. Hakuna kitu chenye kimekwisha kumushinda, na hakuna kitu chenye kitamushindaka. Kwa mufano, wakati walitupa Yeremia mu shimo, Yehova alimuokoa ili asikufe. Aliokoa Shadraki, Meshaki, na Abednego kutoka katika tanuru ya moto na aliokoa Danieli ili simba wasimukule. Yehova alilinda Esta ili aokoe taifa lote. Hataacha mambo ya mubaya iendelee milele. Unabii wenye unazungumuzia sanamu kubwa na wenye unazungumuzia muti mukubwa unaonyesha kabisa kama karibuni Ufalme wa Yehova utatosha mambo yote ya mubaya na utatawala dunia.

MAMBO YA KUJIFUNZA

  • Ufalme wa Yehova uko na nguvu kupita serikali zote za wanadamu

  • Sawa vile Esta na Danieli, hata tukuwe wapi tunapaswa kushikamana na mambo ya muzuri

  • Sawa vile Yeremia na Nehemia, umutegemee Yehova kabisa wakati uko na magumu

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine